Recent content by Michaelmakene

  1. Michaelmakene

    Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

    hakuna namna bora liende siku ipite ukiwa salama
  2. Michaelmakene

    Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

    Mi mkerewe wa chato...ndg jamaa na marafiki karibu kwetu chato muone sangara na sato wa chato bila kusahau ng'ombe wanaotoa maziwa meupeeee
  3. Michaelmakene

    Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

    ...😀😀😀 Aisee nchi itanyooka kweli kweli kama maji kutulia nacho ni kivutio!!
  4. Michaelmakene

    Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

    ...chato inasukwa iwe kama ulaya...kwasasa huwa nikiulizwa kwetu wapi nasema chato 😀😀 sitaki kubaki kubaki nyuma
  5. Michaelmakene

    Rais, wananchi wanataka kujua Michango mashuleni imerudishwa? Tunaomba tamko la Serikali

    ...uko sahihi ndg michango mashuleni sasa imekuja kwa kasi ya uchumi wa kati...tanesco ndo imeoza kabisa licha ya kusema nguzo bure hata ukilipia utakaa mpaka usahau kupata huduma Nina zaidi ya miezi 2 dana dana kibao wanatengeneza mazingira ujisachi
  6. Michaelmakene

    Rais, wananchi wanataka kujua Michango mashuleni imerudishwa? Tunaomba tamko la Serikali

    Msamehe hajui nini maana ya elimu bure na inawezekana anaishi kwa wifi hajui shida wanazokutana nazo wazazi wanapopeleka watoto wao shule hii mada inamzidi umri alipaswa akae kimya waongee wazazi/walezi sio walelewa inatia hasira Sana unapeleka mtoto shule unaambiwa utoe elfu 50 ya kiti na elfu...
  7. Michaelmakene

    Rais, wananchi wanataka kujua Michango mashuleni imerudishwa? Tunaomba tamko la Serikali

    ... wakati mnatangaza kwa vibesi kwamba mnatoa elimu bure mlikuwa mnataka kumfurahisha nani kama mlifahamu jeuri hiyo hamnayo?...acheni kucheza na maisha ya watoto wetu bora mngesema mapema wazazi wakajipanga
  8. Michaelmakene

    Rais, wananchi wanataka kujua Michango mashuleni imerudishwa? Tunaomba tamko la Serikali

    ...unaelewa maana ya neno elimu bure?....kama serikali kupitia Kodi zetu imeshindwa kuleta viti na kuongeza madarasa inataka wananchi ndio wajikamua walete inawezaje kusema inatoa elimu bure?...ebu waulize viongozi wako wakati wanapewa elimu bure walikuwa wanaenda na viti shuleni wakati huo...
  9. Michaelmakene

    Rais, wananchi wanataka kujua Michango mashuleni imerudishwa? Tunaomba tamko la Serikali

    ...unachosema inawezekana ikawa kweli kabisa mfano nimepeleka mwanafunzi wa kidato cha Kwanza kangaye sc ilemela mwanza....dawati elfu 50. Pesa ya ujenzi elfu 10 nk..
  10. Michaelmakene

    TANZIA Waziri wa zamani, Dkt. Pius Yasebasi Ng'wandu afariki dunia

    Japo sio vyema kumsema marehemu...ila wazee wetu nanyi punguzeni matamaa
  11. Michaelmakene

    TANZIA Waziri wa zamani, Dkt. Pius Yasebasi Ng'wandu afariki dunia

    Haina shida kijana atapata kijana mwenzake maisha yatasonga
  12. Michaelmakene

    GE2020 CHADEMA imejiandaa vipi kwenye mfumo wa Mawasiliano, hasa Tundu Lissu?

    ...😁😁 alafu wanakuja kusema hazarani kwamba ulimtongoza furani
  13. Michaelmakene

    GE2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

    ...kumbuka Moto wa 2020 sio wa nyasi kama 2015 pia tundu lissu sio goigoi kama lowasa amini nakwambia mwaka huu utaziona nyeti za kuku mchana kweupe kama wakileta mazoea ya ya iyo miaka ulioitaja
  14. Michaelmakene

    Bernard Membe na mkewe warudisha kadi za CCM. Aishukuru CCM kwa mema yote iliyomtendea

    ...ukitafakari mambo wanayofanya upinzani wa nchi hii kupokea mikada ya ccm na kuipa uongozi unaweza usishabikie chama chochote milele....
Back
Top Bottom