Nahisi amesema Ni gafla kwa mantiki ya kwamba sis wananchi tumestukia tuu Pa,Ka yupo ikulu na mama. . Wakati... vice wa USA..tulijulishwa.. kila hatua za ujio wake.
Inategemeana na sehemu uliyopo na nn kinakosekana sana hapo ulipo ndo fursa za kitu chakufanya zinapatikanaaaa ila wew mwnyew ndo wakufnya utafiti mzur kulingn na sehmu uliyopooo
Sent using Jamii Forums mobile app
najifunza mengi sana humu... nadhani siku si nyingi ntaazisha namm biashara yangu.. namba tu tusiacha kushauriana pindi tunapohitaji msaada wa ushauri kwa wale wazoefu..... Ahsanteniii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.