kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,027
- 3,465
Msaada kwenye tuta.
Huu ni mwezi wa 8 tangu nifungue duka la bidhaa ndogo ndogo za nyumbani,mwezi huu nimeamua kupanua kidogo duka limekuwa la jumla na reja reja,
Duka lilianza vizuri sana ,kila nilichokuwa naleta hakikuchukua muda mrefu kilinununuliwa,bidhaa nyingi zilinunuliwa kwa wakati pia wateja walizidi kuwa wengi
Kama mjuavyo kwenye biashara changamoto hazikosekani ,kila penye faida hasara iko pembeni inakungoja,unapocheka leo kesho unaweza kununa hata kulia pia.
Miezi mitano ya mwanzon hakika biashara niliifurahia na ilienda poa kabsa hakukuwa na wasiwas wowote labda changamoto ndogondogo .
(CHANGAMOTO)
Wake za watu pamoja na wadada wamekuwa wakinifatilia sana kutaka tuwe na mahusiano ya kimapenzi, lakini nilijitajidi kuepuka vishawishi (niliamini shida yao ni kutafuna mali yangu tu na kupotea),sikuwapa muda nao walizidisha mitego
Baada ya kuona sieleweki wateja wengi hususani wa jinsia ya kike wamehama sasahivi hawakanyagi kwangu,unga,mchele,sukari na mahtaji mengne wanaenda kununua mbali kidogo ambapo haikuwa kawaida.
Siku zinavyozidi kwenda mauzo pia yanazidi kupungua,wateja naowapata ni wa kiume tu na labda wazee .tofaut na zaman.
(CHANGAMOTO NYINGNE)
Baada ya kuona hali sio nzur niliwaza nibadili location au nimlete wife akae dukan,jibu la pili likawa na nguvu.
Wife hakubishi alikubali nikamuelekeza vzr biashara inavyoenda (sikumwambia inshu iliyopo),Wife alikaa dukani mi nikaanza harakati nyingne za kutoa mzigo mkoa A kupeleka mkoa B (hii naifanya hadi sasa na faida ni nzuri tu.
Sasa tangu wife aingie mauzo yamefutika kabsa anaweza kuingia asubuhi na kutoka usiku akiwa na 40k wakati zamani nilikuw nauza hadi 200k kwa siku.
Sasahivi kwa kuwa nina muda sionekani wananipigia simu kuniuliza nilipo nawapiga chenga tu
Huwa nawaza ,wanaambiana au huwa wanakaa vikao na kuamua maana karibia wateja wangu wote upande wa jinsia ya kike siku hizi hawaonekan kabsa.
au nilikosea walipokuwa wanajitongozesha nawambia nina familia.
USHAURI WENU MUHIMU
1.NIfunge biashara?
2.Nihame location?
3.Nikomae watazoea na watakuja wengi kama mwanzoni au?
Siko vizuri kiuandishi ila ntajitahidi kuweka sawa penye kuhijatika maelezo .
Huu ni mwezi wa 8 tangu nifungue duka la bidhaa ndogo ndogo za nyumbani,mwezi huu nimeamua kupanua kidogo duka limekuwa la jumla na reja reja,
Duka lilianza vizuri sana ,kila nilichokuwa naleta hakikuchukua muda mrefu kilinununuliwa,bidhaa nyingi zilinunuliwa kwa wakati pia wateja walizidi kuwa wengi
Kama mjuavyo kwenye biashara changamoto hazikosekani ,kila penye faida hasara iko pembeni inakungoja,unapocheka leo kesho unaweza kununa hata kulia pia.
Miezi mitano ya mwanzon hakika biashara niliifurahia na ilienda poa kabsa hakukuwa na wasiwas wowote labda changamoto ndogondogo .
(CHANGAMOTO)
Wake za watu pamoja na wadada wamekuwa wakinifatilia sana kutaka tuwe na mahusiano ya kimapenzi, lakini nilijitajidi kuepuka vishawishi (niliamini shida yao ni kutafuna mali yangu tu na kupotea),sikuwapa muda nao walizidisha mitego
Baada ya kuona sieleweki wateja wengi hususani wa jinsia ya kike wamehama sasahivi hawakanyagi kwangu,unga,mchele,sukari na mahtaji mengne wanaenda kununua mbali kidogo ambapo haikuwa kawaida.
Siku zinavyozidi kwenda mauzo pia yanazidi kupungua,wateja naowapata ni wa kiume tu na labda wazee .tofaut na zaman.
(CHANGAMOTO NYINGNE)
Baada ya kuona hali sio nzur niliwaza nibadili location au nimlete wife akae dukan,jibu la pili likawa na nguvu.
Wife hakubishi alikubali nikamuelekeza vzr biashara inavyoenda (sikumwambia inshu iliyopo),Wife alikaa dukani mi nikaanza harakati nyingne za kutoa mzigo mkoa A kupeleka mkoa B (hii naifanya hadi sasa na faida ni nzuri tu.
Sasa tangu wife aingie mauzo yamefutika kabsa anaweza kuingia asubuhi na kutoka usiku akiwa na 40k wakati zamani nilikuw nauza hadi 200k kwa siku.
Sasahivi kwa kuwa nina muda sionekani wananipigia simu kuniuliza nilipo nawapiga chenga tu
Huwa nawaza ,wanaambiana au huwa wanakaa vikao na kuamua maana karibia wateja wangu wote upande wa jinsia ya kike siku hizi hawaonekan kabsa.
au nilikosea walipokuwa wanajitongozesha nawambia nina familia.
USHAURI WENU MUHIMU
1.NIfunge biashara?
2.Nihame location?
3.Nikomae watazoea na watakuja wengi kama mwanzoni au?
Siko vizuri kiuandishi ila ntajitahidi kuweka sawa penye kuhijatika maelezo .