Recent content by Michael Dudicoff

  1. Michael Dudicoff

    JamiiForums Tanzania Wawili jela kwa kujaribu kumroga na kumuua rais wa Zambia

    Chanzo . BBC Swahili. Mahakama nchini Zambia imewahukumu wanaume wawili kifungo cha miaka miwili jela kwa kujaribu kutumia uchawi kumuua Rais Hakainde Hichilema. Mzambia Leonard Phiri na Msumbiji Jasten Mabulesse Candunde walitiwa hatiani chini ya Sheria ya Uchawi baada ya kukamatwa mwezi...
  2. Michael Dudicoff

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHADEMA: Polisi wamevamia Kikao chetu cha ndani Kibaha, wanachama Sita wakamatwa

    Sema kikao kilikuwa cha wagala watupu hakuna Muslim ht mmoja. Cha kushangaza hapo sio kwanini wamekamatwa wagala bali ni kwanini kwenye kikao hicho Muslim hawakualikwa! Polisi wasingeweza kuwakamata Muslim wakati hawapo kwenye kikao!. Nawasilisha!.
  3. Michael Dudicoff

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHADEMA: Polisi wamevamia Kikao chetu cha ndani Kibaha, wanachama Sita wakamatwa

    Si mahakama imewazuia chadema kufanya shughuli zozote za kisiasa hadi kesi yao ya mgawanyo wa mapato na raslimali za chadema kati ya Tanzania bara na Zanzibar itakapotolewa uamuzi. Au hicho kikao cha ndani haikuwa kikao cha kisiasa ila ilikuwa kikao cha harusi?!
  4. Michael Dudicoff

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHADEMA: Polisi wamevamia Kikao chetu cha ndani Kibaha, wanachama Sita wakamatwa

    Mahakama si imewazuia chadema kufanya shughuli zozote za kisiasa hadi kesi yao ya mgawanyo wa mapato na raslimali za chadema kati ya Tanzania bara na Zanzibar itakapotolewa uamuzi. Au hicho kikao cha ndani haikuwa cha kisiasa ila ilikuwa kikao cha harusi?!
  5. Michael Dudicoff

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uhalisia ndani ya harambee ya CCM

    Jawabu : Pale walikutana kukichangia chama kinachoongozwa na mama Samia ili kuwezesha kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu ambapo mama Samia ndiye mgombea wa urais kupitia chama Cha Mapinduzi.
  6. Michael Dudicoff

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uhalisia ndani ya harambee ya CCM

    Habari za muda huu. Niende kwenye mada Moja kwa moja. Chama Cha Mapinduzi hakijakosa hela kiasi cha kuandaa harambee ya watu kukichangia pesa za kuendesha shughuli za uchaguzi. Miaka yote chama kimekuwa kikishiriki uchaguzi pasi na kuhitaji watu kukichangia. Lengo kuu la harambee ile ilikuwa...
  7. Michael Dudicoff

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Wananchi wa Tabora wakataa kupokea mwenge ulionakshiwa na picha ya Rais Samia

    Bila picha /video hii habari ni fake!
  8. Michael Dudicoff

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta binti Salaf wa kuoa

    Amesema ni zaidi ya kidato Cha nne.
  9. Michael Dudicoff

    JamiiForums Tanzania TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Wewe ambaye haujamfanyia unyama mtu yeyote ndio hautakufa wewe na lisu wako mtaishi milele?! Kifo hakina uhusiano na ubaya wa mtu!. Ukifanya unyama utakufa na usipofanya unyama pia utakufa. Wamekufa mitume na manabii lakini ibilisi pamoja na ushetani wake bado yupo hai hadi leo kuonyesha kwamba...
  10. Michael Dudicoff

    JamiiForums Tanzania TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Duniani hata ungekuwa mzuri kama malaika huwezi kuwaridhisha watu wote. Lazima kuna watu watakutia madoa uonekane mbaya. Na pia hata ukiwa mbaya kama shetani huwezi kuwa mbaya kwa watu wote. Kuna mashetani wenzako watakupamba onekane mzuri. Sasa kila mtu na atende yale anayeamini ni mema lakini...
Back
Top Bottom