Chanzo . BBC Swahili.
Mahakama nchini Zambia imewahukumu wanaume wawili kifungo cha miaka miwili jela kwa kujaribu kutumia uchawi kumuua Rais Hakainde Hichilema.
Mzambia Leonard Phiri na Msumbiji Jasten Mabulesse Candunde walitiwa hatiani chini ya Sheria ya Uchawi baada ya kukamatwa mwezi...
Sema kikao kilikuwa cha wagala watupu hakuna Muslim ht mmoja.
Cha kushangaza hapo sio kwanini wamekamatwa wagala bali ni kwanini kwenye kikao hicho Muslim hawakualikwa!
Polisi wasingeweza kuwakamata Muslim wakati hawapo kwenye kikao!.
Nawasilisha!.
Si mahakama imewazuia chadema kufanya shughuli zozote za kisiasa hadi kesi yao ya mgawanyo wa mapato na raslimali za chadema kati ya Tanzania bara na Zanzibar itakapotolewa uamuzi.
Au hicho kikao cha ndani haikuwa kikao cha kisiasa ila ilikuwa kikao cha harusi?!
Mahakama si imewazuia chadema kufanya shughuli zozote za kisiasa hadi kesi yao ya mgawanyo wa mapato na raslimali za chadema kati ya Tanzania bara na Zanzibar itakapotolewa uamuzi.
Au hicho kikao cha ndani haikuwa cha kisiasa ila ilikuwa kikao cha harusi?!
Jawabu :
Pale walikutana kukichangia chama kinachoongozwa na mama Samia ili kuwezesha kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu ambapo mama Samia ndiye mgombea wa urais kupitia chama Cha Mapinduzi.
Habari za muda huu.
Niende kwenye mada Moja kwa moja.
Chama Cha Mapinduzi hakijakosa hela kiasi cha kuandaa harambee ya watu kukichangia pesa za kuendesha shughuli za uchaguzi.
Miaka yote chama kimekuwa kikishiriki uchaguzi pasi na kuhitaji watu kukichangia.
Lengo kuu la harambee ile ilikuwa...
Wewe ambaye haujamfanyia unyama mtu yeyote ndio hautakufa wewe na lisu wako mtaishi milele?!
Kifo hakina uhusiano na ubaya wa mtu!. Ukifanya unyama utakufa na usipofanya unyama pia utakufa.
Wamekufa mitume na manabii lakini ibilisi pamoja na ushetani wake bado yupo hai hadi leo kuonyesha kwamba...
Duniani hata ungekuwa mzuri kama malaika huwezi kuwaridhisha watu wote.
Lazima kuna watu watakutia madoa uonekane mbaya.
Na pia hata ukiwa mbaya kama shetani huwezi kuwa mbaya kwa watu wote.
Kuna mashetani wenzako watakupamba onekane mzuri.
Sasa kila mtu na atende yale anayeamini ni mema lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.