Unajua sometime unaamua tu ukae kimya mana ata ukiandika umu sizani km izi mada zinafika mahari usika mana nimiaka sasa tunaongelea maswala ya paypal na kwann isitafutwe njia yakufikia mamlaka usika wizara ya fedha au bot watoe tamko km aiwezekani bc wabongo tuwetu waarifu tutafute wakenya...
Mm pia nateseka nikiwa nchini kwangu tanzania nimepoteza $100 niliyoiangaikia mtandaoni.sababu Paypal ipokei el ukiw tanzania ikabidi nitumie option 2 nikatumiwa elayangu kwa...... paysafe card ....apo ndiko niliko pigwa na wajanya wakati nafanya mchakato wakuitoa aya yasingenikuta km ela...
TUSUA SPOTI..mchezo wa kubahatisha unao endeshwa KITAPELI.
Nasema kitapeli sababu ya kwamba mnatumia maneno ya kilaghai kwa mteja huku mkijua kabisa sivyo ilivyo huo ni wizi.
Mfano ukisema watu washindane kukimbia na mshind wa kwanza ata jishindia elfu 60 mfano alafu,asa mtu akimbie na baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.