Kwa hiyo unataka kumaanisha wanaosimamia taswira ya nchi kupitia shughuli za Kiongozi mkuu wa nchi, Raisi, walipuuzia usalama na kuruhusu kuchanganya tabia hizi na majukumu yao?
Wewe mapuuza hebu tuambie hawa Maafisa usafirishaji waliomsindikiza Mhe. Raisi kule Arusha bila kutumia Vifaa vya Usalama mbele ya Kiongozi Mkuu wa nchi, hii ndio 'Ajira' mnayoisema au ni tofauti na hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.