Recent content by Mhumapatali

  1. M

    Pressure inanifelisha maisha

    Hiyo bado ipo kwenye normal range Ila jitahidi isizidi 120/80. Fanya mazoezi, kula mlo kamili na kupunguza chumvi kidogo kwenye chakula
  2. M

    Pressure inanifelisha maisha

    Pressure ya mwili mara nyingi hubadilika kulingana na situation uliyopo. Inaonekana wewe ukiitwa kwenye usaili au kuonana na daktari huwa unaingiwa na hofu inayofanya pressure yako kuwa juu kuliko kawaida. Kwa muono wangu mtu anahesabika kuwa na pressure ya juu ( hypertension) endapo pressure...
  3. M

    Je, asali haipandishi kiwango cha sukari mwilini?

    Asali na sukari ya kawaida inayotokana na miwa (sucrose) ni disaccharides zinazoundwa na sukari rahisi ( monosaccharide) za Aina mbili glucose na fructose. Tofauti ya asali na sukari ya miwa Ni uwiano wa sukari rahisi ambapo asali ina asilimia 40 fructose na asilimia 30 Ni glucose. Sukari ya...
  4. M

    Kwanini wagonjwa wa Kisukari hukatwa miguu na si mikono au kiungo kingine?

    Matunda Ni mazuri kwa afya kwani yana vitamins nyingi ambazo hazipatikani kwenye vyakula vingine! Kama huna tatizo la kisukari unaweza kula matunda ya aina zote . Ila kwa mtu mwenye kisukari anapaswa kula matunda yasiyo na sukari nyingi ilikuepuka kupandisha sukari kwa haraka ( spiking of...
  5. M

    Kwanini wagonjwa wa Kisukari hukatwa miguu na si mikono au kiungo kingine?

    Mgonjwa wa kisukari anashauriwa ale zaidi matango na parachichi kwa sababu yana glycemic index ndogo( kiwango kidogo Cha carbohydrate)
  6. M

    Kwanini wagonjwa wa Kisukari hukatwa miguu na si mikono au kiungo kingine?

    Ndiyo mkuu, matunda Kama mananasi, machungwa, matikiti na ndizi mbivu yanaongeza sukari kwa wingi na kwa haraka
  7. M

    Kwanini wagonjwa wa Kisukari hukatwa miguu na si mikono au kiungo kingine?

    Ukienda hospitali ubahatike kukutana na daktari aliyebobea (specialist) kwenye magonjwa ya kisukari. Ukimkutà generalist anaweza asiwe msaada. Wengi huwa wanamuandikia mgonjwa dawa za kisukari bila kumshauri mgonjwa aanze na diet na mazoezi kwa muda fulani kwanza. Wengi wanashauri wagonjwa wale...
  8. M

    Kwanini wagonjwa wa Kisukari hukatwa miguu na si mikono au kiungo kingine?

    Shida ya huu ugonjwa unajijenga taratibu kwa miaka mingi. Ukiona dalili ujue magnitude ya tatizo ni kubwa. Watu wengi wanaviashiria vya kisukari lakini hawajui. Jambo la msingi ni kuepuka maisha ya kivivu (Sedentary life style) na ulaji wahovyo.
  9. M

    Kusoma Masters na PhD UDSM ni kutafuta ugonjwa wa moyo

    Umeuliza swali zuri sana! Hizi higher degrees ukiwa kilaza au mvivu itakuchukua muda sana kugraduate! Research Ni yako lazima ukomae, supervisor yupo pale kukuguide tu.
  10. M

    Tatizo la uchovu kupitiliza, mwili kupata ganzi nikikaa kwa muda mrefu

    Nenda kapime sukari yako asubuhi kabla hujala kitu
  11. M

    Yaliyonifanya niache kununua 'Dada Poa'

    Hahahaha; eti wahujumu uchumi
  12. M

    Waziri Jafo amuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA jijini Arusha kwa kushindwa kuita Wananchi kushuhudia ufunguzi wa barabara

    Pathetic! Job specifications za meneja wa TARURA ni kukusanya wananchi? Hapa mh Jafo hajatumia busara! Huo ni ulevi wa madaraka.
  13. M

    Niulize swali lolote kuhusu Wilaya ya Kilombero

    Wilaya ya Kilombero ina Tarafa na kata ngapi?
Back
Top Bottom