kila nyakati zina changamoto zake. jeshi lina kazi ya kulinda mipaka ndiyo lakini ukumbuke kuwa kipindi cha uchaguzi maadui hupenda kujipenyeza mipakani ili kuchochea vurugu.kama serikali imejiridhisha kuwepo kwa hali hiyo, tukubali tu tuwe wapole jeshi lifanye kazi yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.