Recent content by Mhudumu

  1. M

    Jeshi kazi yake ni kulinda mipaka ya nchi, uchaguzi ni tume ya uchaguzi

    kila nyakati zina changamoto zake. jeshi lina kazi ya kulinda mipaka ndiyo lakini ukumbuke kuwa kipindi cha uchaguzi maadui hupenda kujipenyeza mipakani ili kuchochea vurugu.kama serikali imejiridhisha kuwepo kwa hali hiyo, tukubali tu tuwe wapole jeshi lifanye kazi yake
  2. M

    Ni wakati sasa tutafute nje ya boksi

    kigwangala hajawahi kuwa Waziri
  3. M

    UKAWA jiandaeni kisaikolojia 2015

    UKAWA ni maarufu wa kutafuta umaarufu lakini siyo kuwatumikia wananchi.
  4. M

    UKAWA jiandaeni kisaikolojia 2015

    wanaota mchana kweupe.
  5. M

    UKAWA jiandaeni kisaikolojia 2015

    mnaanza kutapatapae
  6. M

    Tuna sambaratisha nchi wenyewe

    tehe tehe tehe, amevurugwa
  7. M

    Tuna sambaratisha nchi wenyewe

    umesema ukuaji wa demokrasia hapa nchi ni wa hali ya juu, unajua ni kwa nini?
  8. M

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    mwaka huu amekutana na kiboko yake
  9. M

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    miaka mingi mkurugenzi wa TRA amekuwa akitokea kaskazini na kuwa vigumu kuchukuliwa hatua na wachaga wenzake
  10. M

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    mkuu weka video inayomuonesha Muhongo akihutubia mara na mwanza ili tumuone mleta mada mi muongo, la sivyo vibaraka wa Mengi mmeumbuka mchana kweupe
  11. M

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    ujinga wa Mengi nadhani unakolezwa na kule kuoa wajukuu zake
  12. M

    Maajabu makubwa ya prof.Muhongo

    kazi kwelikweli.huyu mzee wa kuchukua wajukuu zake utajiri wake unamponza
Back
Top Bottom