TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,868
- 5,753
Mnawafariji tu hao UKAWA, hawana cha kwenda kuwaambia wananchi, CCM wamefanya mengi.....hakika kabisa.
Mnawafariji tu hao UKAWA, hawana cha kwenda kuwaambia wananchi, CCM wamefanya mengi.....hakika kabisa.
Mnawafariji tu hao UKAWA, hawana cha kwenda kuwaambia wananchi, CCM wamefanya mengi
Mnawafariji tu hao UKAWA, hawana cha kwenda kuwaambia wananchi, CCM wamefanya mengi
Kwa hiyo mahitaji ya wananchi ni escrow na sera zisizotekelezeka sio? Nikufahamishe. Simply wananchi wameichoka ccm na hawana haja tena ya kusikiliza lolote toka ccm. CCM ishakufa na kuoza, mtuondolee harufu!Hata zikiwa tume huru kumi, wananchi hawajaona sera za UPINZANI, zaidi ya kukiponda chama tawala, hayo siyo mahitaji ya wananchi.
Kwa hiyo mahitaji ya wananchi ni escrow na sera zisizotekelezeka sio? Nikufahamishe. Simply wananchi wameichoka ccm na hawana haja tena ya kusikiliza lolote toka ccm. CCM ishakufa na kuoza, mtuondolee harufu!
Inategemea kuwa umevaa miwani ya rangi gani!Hata zikiwa tume huru kumi, wananchi hawajaona sera za UPINZANI, zaidi ya kukiponda chama tawala, hayo siyo mahitaji ya wananchi.
Ngoja wajifanye wamechanganyikiwa lakini moto watauona tu hatuchagui waliopagawa na maisha.Hivi bado UKAWA wanaamini watachukua nchi 2015 hata baada ya uchaguzi wa s/mitaa? Litakuwa ajabu la 8 la Dunia
Mambo yanayotokea kwenye kutangaza na kuapisha washidi wa uchaguzi wa serikali za mitaa ni dalili mbaya ya kitakachotokea kwenye uchaguzi wa urais wa 2015 kama UKAWA watashinda 2015.
Ukawa itashindwa tu 2015 kama wasimamizi, wanaotangaza na wanaoapisha mshindi wataendelea kuteuliwa, kupokea na kutii maagizo na amri kutoka kwa wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa wilaya, wakuu wa mikoa na Rais wa nchi (hawako huru).
Kama utaratibu utaendelea kuwa kama ulivyo sasa wapinzani ni bora kuanza kujiandaa kushindwa tu tena 2015. Vinginevyo hamna budi kuanza leo kutafakari namna wasimamizi, watangazaji wa matokeo na waapishaji wa walioshinda watakavyokuwa huru uchaguzi wa 2015 kabla ya kufikiria majina ya wagombea na namna ya mtakavyoiendesha serikali ya UKAWA.
Au mfikirie mapema nini mtakachofanya kama atatangazwa na kuapishwa yule ambae hakushinda kama ilivyotokea kwa Mwai Kibaki na Odinga kule Kenya. Kimbembe ni pale atakapotangazwa ambaye hakushinda na kuamriwa mwende kulalamikia mahakamani badala ya kupaza sauti zenu kwa aliyemtangaza makusudi aliyeshindwa.