Recent content by Mhoza

  1. M

    Je, sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tupeleke wapi kura zetu 2025?

    Tunasubiri kwa hamu kuanzishwa kwa UMOJA PARTY.
  2. M

    ORODHA ya mashirika 58 yasiyo changia hata mia kwenye mfuko wa serikali

    Sasa wanataka yachangie nini na wakati karibu mashirika yote yapo katika kutoa huduma tu.
  3. M

    Uchaguzi mkuu ujao kufanyika mwaka 2026?

    Basi sawa.
  4. M

    Je, ungependa nini kiwemo kwenye Katiba Mpya? Mimi napendekeza Ruzuku ya Vyama vya Siasa iondolewe!

    Budget ya kuandaa katiba mpya ipelekwe kujenga vituo vya kutolea huduma za afya.
  5. M

    CHADEMA yaanza kuwatembelea Wananchi Waliotelekezwa na CCM

    Hongereni kwa matembezi ya hiari Mungu awatangulie.
  6. M

    Msaada: Kaka Yangu Kahukumiwa Miaka 30 Leo

    Pole sana ndugu hii dunia ina mambo magumu sana.
  7. M

    Ushauri wangu kwa ACT Wazalendo na Maalim Seif

    We jamaa wewe si ukisema Lissu asiposhinda Urais utakuwa tayari kufunuliwa malinda.
  8. M

    GE2020 Nimesimamia uchaguzi, nimetenda haki

    Hizi ni propaganda za level ya chini sana, tuliwaambia mapema kwamba mnaenda kupokea kipigo cha Mbwa mwizi na imekuwa hivyo.
  9. M

    GE2020 Tarehe 28/10/2020: Siku ya kuweka Historia kuu Tanzania

    Tulia tarehe 28/10/2020 ifike ndiyo ujue kwanini mtoto hakui kwa baba.
  10. M

    GE2020 Tarehe 28/10/2020: Siku ya kuweka Historia kuu Tanzania

    Jaribuni kulinda kura muone mtakabyochezea vitasa
  11. M

    GE2020 Tarehe 28/10/2020: Siku ya kuweka Historia kuu Tanzania

    Wewe kajamaa hadi nakuonea huruma umavyojipa matumaini hewa.
  12. M

    GE2020 Tarehe 28/10/2020: Siku ya kuweka Historia kuu Tanzania

    CCM itaendelea kuwa madarakani baada ya tarehe 28/10/2020.
  13. M

    GE2020 CHADEMA kuweni makini sana na Uchaguzi huu

    Move ya kitoto mliyoitengeneza, upigwe risasi mguu wa kushoto harufa uathirike mguu wa kulia .
  14. M

    GE2020 RC Songwe: Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe umeiacha vizuri unaweza usirudi au ukarudi mlemavu

    Kama watu walivyo serious pia na vyombo vya Ulinzi na usalama vipo serious kudeal na wasiofuata sheria.
Back
Top Bottom