Lissu hawezi kumkondesha mtu kwan ni mtu wa haki wanaokondesha wa Tanzania ni wababe wa kishamba wa CCMMkuu ukipost hivo faraja inakuja? Au bado maumivu tu? Nakushauri achana na kina Lissu mkuu, watakukondesha
Hii awaachie warundi? No way tutabanana hapahapaKaombe uraia Marekani hujalazimishwa kuweka makalio Tanzania
Be free Nenda US ya nini ujitese umewekwa gundi?
MmmhHii awaachie warundi? No way tutabanana hapahapa
Kweli anapendwa si umeona amepewa kura za kutosha na watz wako raha mstarehe.Kila beberu lina agenda nyumba ya uchaguzi wa kiafrika ila linaloniuma sana ni maluhani wenzetu wanaodhani wanapendwa sana
Mungu au mungu?Wameshindwa Iran wamehamia kwetu.
Walishindwa Syria.
Watashindwa hata huku hili ni taifa la Mungu.
Responsibility yenyewe eti ya kuzuia watu kwenda kwao!! Kila mtu akae kwake.
Mkuu tutawatambuaje kama wananchi wakati kutwa mko busy kuichongea nchi kwa mataifa makubwa na taasisi za kimataifa. Mara muiombee vikwazo, mara inyimwe misaada na mikopo ya maendeleo ila kuna mnaoenda mbali mnatamani tushambuliwe kwa minajili ya kuiondoa madarakani serikali tuliyoiweka madarakani kidemokrasia ya wengi wape kwenye box la kura?Ukitaka kujua misukule ya CCM lugha hizi, kwa maana mnaona wenye hatimiliki ya nchi hii ni CCM na nyie misukule yao wengine wahame nchi. Pumbavu wa kiwango cha lami
Zaidi watakachofanya ni kuwanyima visa tu za huko ....watu wanaendelea kula maishaThe United States commends the Tanzanian people for attempting to exercise their right to vote in the October 28 general elections. However, we remain deeply concerned by credible reports of significant and widespread voting irregularities, internet interruption, arrests, and violence by security forces both in mainland Tanzania and on Zanzibar. These irregularities call into question Tanzania’s commitment to democratic values. While the Tanzania Election Commission declared President Magufuli on October 30 as the winner of the presidential contest, we remain deeply troubled by the impact of these irregularities and violence on the results.
We continue to urge restraint by all parties and peaceful resolution of any disputes. We urge Tanzanian authorities to investigate allegations of irregularities and violence by security forces and ensure that all political actors have access to legal institutions to peacefully address electoral disputes.
We call on the Government of Tanzania to uphold the human rights and fundamental freedoms of all, including their freedom of expression and right of peaceful assembly, and to promote internet freedom and to ensure that all those arrested during demonstrations are afforded all applicable procedural safeguards. The United States, in coordination with our partners, will consider actions including visa restrictions, as appropriate, to hold accountable those found to be responsible for human rights abuses and interference in the election process.
The Tanzanian people, like people everywhere, deserve transparent and accountable governance, equal treatment under the law, and the ability to exercise their rights without fear of retribution. Achieving our shared goals and furthering our bilateral relationship will require ensuring that all stakeholders are represented and can fully exercise their roles in Tanzania’s democracy.
View attachment 1618469Widespread Irregularities Observed during the Tanzanian Elections - United States Department of State
The United States commends the Tanzanian people for attempting to exercise their right to vote in the October 28 general elections. However, we remain deeply concerned by credible reports of significant and widespread voting irregularities, internet interruption, arrests, and violence by...www.state.gov
Hawa watu hata si issue ya uraia ni njaa tupu hadi kusaliti uraia waoMkuu tutawatambuaje kama wananchi wakati kutwa mko busy kuichongea nchi kwa mataifa makubwa na taasisi za kimataifa. Mara muiombee vikwazo, mara inyimwe misaada na mikopo ya maendeleo ila kuna mnaoenda mbali mnatamani tushambuliwe kwa minajili ya kuiondoa madarakani serikali tuliyoiweka madarakani kidemokrasia ya wengi wape kwenye box la kura?
Hamuoni tuna sababu ya kutilia shaka uraia wenu?
Kwani mataifa mengine siyo ya Mungu. Idiot weweWameshindwa Iran wamehamia kwetu.
Walishindwa Syria.
Watashindwa hata huku hili ni taifa la Mungu.
Responsibility yenyewe eti ya kuzuia watu kwenda kwao!! Kila mtu akae kwake.
Wewe ni juha. Afrika ni ya kwako pekee yako? Tanzania ni ya kwako pekee!?Kaombe uraia Marekani hujalazimishwa kuweka makalio Tanzania
Be free Nenda US ya nini ujitese umewekwa gundi?
Binafsi naihitaji sanaMikwara imekua mingi sanaaa
Kwenu mna nini hasa cha kujilinganisha na hizo nchi!?Wameshindwa Iran wamehamia kwetu.
Walishindwa Syria.
Watashindwa hata huku hili ni taifa la Mungu.
Responsibility yenyewe eti ya kuzuia watu kwenda kwao!! Kila mtu akae kwake.
Nyie mnauwa wa rangi gani?Hao Watu Weusi Wanaouawa Kwao Si Binadamu Wanaostahili Haki?
Imeisha hiyoooooooooooo, pumbavu kabisa.Nyang'au ni wewe ambaye hujui sera za mambo ya nje huwa hazibadiliki regardless ya nani anakuwa madarakani!