Uchaguzi 2020 Ikulu ya Marekani: Tutapitia tuhuma na kuwawajibisha wanaohusika na ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania

Wameshindwa Iran wamehamia kwetu.

Walishindwa Syria.

Watashindwa hata huku hili ni taifa la Mungu.

Responsibility yenyewe eti ya kuzuia watu kwenda kwao!! Kila mtu akae kwake.
Mungu au mungu?
Maana kuna mwenzako bungeni alimuita mheshimiwa Yesu baadae Mungu wa wote kampa adhabu kali sana ya kukosa ubunge. Kaachwa apambane na hali yake wakati wenzake wamesaidiwa kuibiwa kura.
 
Ukitaka kujua misukule ya CCM lugha hizi, kwa maana mnaona wenye hatimiliki ya nchi hii ni CCM na nyie misukule yao wengine wahame nchi. Pumbavu wa kiwango cha lami
Mkuu tutawatambuaje kama wananchi wakati kutwa mko busy kuichongea nchi kwa mataifa makubwa na taasisi za kimataifa. Mara muiombee vikwazo, mara inyimwe misaada na mikopo ya maendeleo ila kuna mnaoenda mbali mnatamani tushambuliwe kwa minajili ya kuiondoa madarakani serikali tuliyoiweka madarakani kidemokrasia ya wengi wape kwenye box la kura?
Hamuoni tuna sababu ya kutilia shaka uraia wenu?
 
The United States commends the Tanzanian people for attempting to exercise their right to vote in the October 28 general elections. However, we remain deeply concerned by credible reports of significant and widespread voting irregularities, internet interruption, arrests, and violence by security forces both in mainland Tanzania and on Zanzibar. These irregularities call into question Tanzania’s commitment to democratic values. While the Tanzania Election Commission declared President Magufuli on October 30 as the winner of the presidential contest, we remain deeply troubled by the impact of these irregularities and violence on the results.

We continue to urge restraint by all parties and peaceful resolution of any disputes. We urge Tanzanian authorities to investigate allegations of irregularities and violence by security forces and ensure that all political actors have access to legal institutions to peacefully address electoral disputes.

We call on the Government of Tanzania to uphold the human rights and fundamental freedoms of all, including their freedom of expression and right of peaceful assembly, and to promote internet freedom and to ensure that all those arrested during demonstrations are afforded all applicable procedural safeguards. The United States, in coordination with our partners, will consider actions including visa restrictions, as appropriate, to hold accountable those found to be responsible for human rights abuses and interference in the election process.

The Tanzanian people, like people everywhere, deserve transparent and accountable governance, equal treatment under the law, and the ability to exercise their rights without fear of retribution. Achieving our shared goals and furthering our bilateral relationship will require ensuring that all stakeholders are represented and can fully exercise their roles in Tanzania’s democracy.

View attachment 1618469
Zaidi watakachofanya ni kuwanyima visa tu za huko ....watu wanaendelea kula maisha
 
Kwanza Ikulu ya Marekani iwawajibishe wale ambao wamehusika na marehemu kupiga kura katika uchaguzi wao
 
Mkuu tutawatambuaje kama wananchi wakati kutwa mko busy kuichongea nchi kwa mataifa makubwa na taasisi za kimataifa. Mara muiombee vikwazo, mara inyimwe misaada na mikopo ya maendeleo ila kuna mnaoenda mbali mnatamani tushambuliwe kwa minajili ya kuiondoa madarakani serikali tuliyoiweka madarakani kidemokrasia ya wengi wape kwenye box la kura?
Hamuoni tuna sababu ya kutilia shaka uraia wenu?
Hawa watu hata si issue ya uraia ni njaa tupu hadi kusaliti uraia wao
 
Wameshindwa Iran wamehamia kwetu.

Walishindwa Syria.

Watashindwa hata huku hili ni taifa la Mungu.

Responsibility yenyewe eti ya kuzuia watu kwenda kwao!! Kila mtu akae kwake.
Kwani mataifa mengine siyo ya Mungu. Idiot wewe
 
Kaombe uraia Marekani hujalazimishwa kuweka makalio Tanzania

Be free Nenda US ya nini ujitese umewekwa gundi?
Wewe ni juha. Afrika ni ya kwako pekee yako? Tanzania ni ya kwako pekee!?
Hivi kwa nini kuna Watanzania mnaona hii nchi ni ya kwenu tu na nyie tu ndio wenye haki na Tanzania!?
 
Wameshindwa Iran wamehamia kwetu.

Walishindwa Syria.

Watashindwa hata huku hili ni taifa la Mungu.

Responsibility yenyewe eti ya kuzuia watu kwenda kwao!! Kila mtu akae kwake.
Kwenu mna nini hasa cha kujilinganisha na hizo nchi!?
 
Back
Top Bottom