Recent content by Mhina Martin

  1. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Pitching ya uwekezaji

    PITCH YA KILIMO– MANTO FARMING SOLUTIONS(MARTIN MHINA Habari za wakati huu Ndugu,Jina langu naitwa Martin Mhina, mimi ni Bwana Shamba na mwanzilishi wa MANTO FARMING SOLUTIONS. Tunajishughulisha na uzalishaji wa mazao ya chakula kwa mpangilio wa misimu ili kuhakikisha tunazalisha mwaka mzima...
  2. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    Mkoa wa Wilaya ya Korogwe
  3. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    PITCH YA KILIMO– MANTO FARMING SOLUTIONS(MARTIN MHINA) Habari za wakati huu Ndugu,Jina langu naitwa Martin Mhina, mimi ni Bwana Shamba na mwanzilishi wa MANTO FARMING SOLUTIONS. Tunajishughulisha na uzalishaji wa mazao ya chakula kwa mpangilio wa misimu ili kuhakikisha tunazalisha...
  4. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    Kabisa Mapambano yaendelee
  5. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    Kabisa Yaan tupo shamba tunapambana
  6. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    Tupo Kaka tunaendelea na Mapambano tulifungiwa kidogo
  7. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Smart TV 4K inch 55 Hisense google QLED Bei Gani mpya??
  8. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Kilimo biashara ni muhimu

    Kabisa nawasubiri kwa hamu
  9. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Kilimo biashara ni muhimu

    Ahsante Ndg Mungu akubariki kwa mchanuo mzuri nimepata mwanga
  10. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Kilimo biashara ni muhimu

    Habari Ndg naomba kwa wadhoefu wa field msaada mchanganuo wa gharama kwa ekari moja wa mazao yafuatayo tafadhali nipate mwanga 1. Nyanya ekari moja 2.Vitunguu vya kawaida ekari moja 3.Hoho ekari Moja 4.Kabage ekari Moja
  11. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Bei za TV brands tofauti tofauti tofauti

    TCL inchi 55 kwa 750K sipati kaka??
  12. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    Ah Ahsante Tupo Pamoja
  13. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Ramani, makadirio, Elimu na ushauri kuhusu Ujenzi

    Naomba fully cautation kwa ramani hii ya fremu ya biashara kuanzia mchanga,sement,nondo,mbao,bati,ufundi nk
  14. Mhina Martin

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Naomba fully cautation kwa ramani hii ya fremu ya biashara kuanzia mchanga, sement, nondo, mbao, bati, ufundi nk
Back
Top Bottom