Salam Wana jukwaa.
Mimi ni mfanyabiashara. Natafuta machimbo ya nafaka Kanda ya ziwa na viunga vyake.
Nataka nipate nafaka kutoka kwa wakulima moja kwa moja au wafanyabiashara ambao Bei zao ziko chini sana
Nafaka ninazohitaji ni;
1 Karanga
2 Maharage njano
3 Dengu
4 Kunde, na
5 Njugu...
Lakini kelele za mitandaoni hazitasaidia chochote katika kuleta manadiliko. Mtapiga kelele weeeee lakini hakuna kitakachobadilika kutokana na kelele za humu
Mwaka unaisha. Tunaingia mwaka mwingine.
Katika maisha ya utafutaji, kuna vita nyingi, za kimwili na za kiroho.
Kutiana nuksi, mikosi na kufungina riziki ni mambo yaliyojaa huku uswahili.
Wakuu watalaamu wa mambo ya kiroho, tunaomba mtupe anglau formula za madawa ya kuoga kujitakasa kuondoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.