Sasa mnashindwa nini nanyi kuweka Makumbusho huko Isarael au Vatican ili muwe mnaenda kila nwaka ili kupiga hela....? Tatizo hamna dini moja na hamna ummoja, Yaani mwamposa akuruhusu uende Bethlehem yeye asipate chochote... Ndio maana huwa mapigwa kifala daily.
Ila wengine kwenda Hijja na umra...
Kama huna malengo na rudisha hiyo 2M yake, Akija siku kugundua kuwa huna plan nae atatoa uchi kwa Maafande utalala ndani kama mbwa. Ushauri wangu harusi ni jambo la kheri chukua mzigo weka ndani umri ni namba tu Dogo.
Ukijichanganya kwa Manduna huchomoki, baadhi wa wabongo waliowengi wanaenda kule bila mishe maalum. Maisha yakiwapiga wanajikuta wameingia kwenye magenge yasiofaa. Hususani Durban kuna watega meli hao muda woote na vibeg mgongoni wanawaza kuzamia waende brazil au nchi nyingine. Hao 80 ni wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.