Recent content by MhayawaTanzania

  1. M

    Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

    waliozalishwa ni ngumu kumake nao future! bora nideal na hawahawa wa online, maana mafanikio yangu cyo mabaya!! ONLINE PAYS!!
  2. M

    Kwa wale wenzangu tunaotumia kilaji, ukipewa bili usiweke mfukoni

    unazungumzia mshahara wa mwl.wa mwaka gani ndugu??
  3. M

    We mwanamke kitandani mvivu alafu unaajiri mdada wa kazi mrembo

    tena heshima inaongezeka mara dufu! sema inapungua kwa mama watoto!
  4. M

    Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

    thanx for your post !coz imetulia!! mm binafsi ni kwa sababu ninakoishi, female wengi ama wameolewa au wamazalishwa! that's all!!
  5. M

    Wanandoa na extended family

    kwani ni ndugu wote wanaohitaji msaada?? wangine yaweza kuwa ni matembezi tu! lkn km ni msaada bhac asaidiwe hukohuko aliko!! pia jambo hili mm nilihusisha na kipato kidogo, maana mtu anapoingiwa na roho ya uchoyo ndo bifu linapoanza!!
  6. M

    Baadhi ya wanawake sijui wanachukulia vipi maisha

    nibwage tafadhali,mm mbona wananililia? ww haujapenda, au yy hajakupenda!!
  7. M

    Wanafunzi wa Dar umezidi sasa, mnaomba sana hela mpaka mnaudhi

    siku zote anayeomba anahitaji msaada! hivyo kama una uwezo wa kutoa, toa tu!! maana hiyo tabia huenda inatokana na khali ngumu ya maisha!! binafsi mm napenda kusaidia watu kama hao.!
  8. M

    Kaolewa ila ananitaka nifanyeje?

    Achana naye kiroho safi!! maana mpaka unaomba ushauri, tayari nafsi yako imeshakusuta!!
  9. M

    Swaga za huyu mdada zimeniogopesha nahisi ana upeo sana atanisumbua

    kwani mji upo dar tu? mbona tz tuna majiji matano!? pia kuna watu waliwahi kufika na kuishi majiji makubwa duniani zaidi ya dar! NEW YORK, TORONTO, BIRMINGHAM, PARIS n..k, hivyo hiyo point yako, inakosa mashiko kwa upande wangu, sorry in advance since my intention....
  10. M

    Mwanamke akipenda inakuwa kero

    mm mwenyewe nikipendwa sana, naanza kuona bora kuwa single, coz huyo mtu anataka kunimonitor hata zaidi ya wazazi wangu, mara, hooh, umeshakula, umekula nn, unafanya nn, kwa nn haujalala, n.k "...
  11. M

    Mwanamke akipenda inakuwa kero

    cyo kwamba hawana kazi za kufanya! no wadada wa disign hiyo wanawaibia muda waajiri wao, au hata kama wamejiajiri wanajiibia muda! just kuchanganywa na mapenzi, full kudata!
  12. M

    Mwanamke akipenda inakuwa kero

    ukitaka kesi basi weka profl pic ya demu mkali kwenye profl yako uone mziki na maswali yake! jaribu tu!!
  13. M

    Mwanamke akipenda inakuwa kero

    dah! kumbe na ww yamekukuta! nilidhani ni mm peke yangu ninayekereka na tabia hiyo!
Back
Top Bottom