Zanzibar ni nchi yenye watu wenye Tamaduni na Imani mbalimbali ikiwemo Waislamu na Wakristo. Kuweka katazo la unywaji pombe au uuzwaji pombe ni kuingilia faragha za watu. Kama biashara ya mtu haikubuguzi au unywaji wa mtu hausumbui watu wengine kwa nini mtu anayekunywa pombe Ramadhani akamatwe...
Nimebadilisha matumizi ya umeme kutoka Single phase system kwenda 3 phase system, kwenye remote meter ya single phase system nilibakiza units kama 700 hivi, naweza kuziamishia kwenda single phase nyingine ya jengo jingine?
Maana naambiwa Unit za single phase haziwezi kutumika kwenye 3 phase na...
Kumekuwa na mjadala mkubwa nchini United States kufuatia wito wa kupitishwa kwa sheria mpya inayojulikana kama “Save America Act.” Sheria hii inapendekezwa na Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump, ambaye amesisitiza kuwa hatua hiyo inalenga kuimarisha uadilifu wa uchaguzi pamoja na kulinda...
Acha kubisha kama hujui kitu
Hipo barua ya kiarabu, kiespania, kifaransa na lugha nyingine. Mimi ndio nimechukua iliyoandikwa kiingereza.
Kwenye hiyo website yao ya The Muslim World League Condemns Iranian Aggression Against the Sultanate of Oman kuna sehemu unabadili lugha na kuletewa kila...
Ukitizama uchambuzi wa mitandaoni sasa ni habari za Iran na Marekani na Israel.
Hakuna uchambuzi au kelele au shamlashamla kuelekea mechi ya derby itakayopigwa jioni.
Hakuna habari yoyote ya Bongo inayotrend kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.