Recent content by Mhaya

  1. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Uzi wa rekodi ya matukio yaliyosababisha vifo vingi nchini Tanzania

    Tanzania imeshuhudia matukio mbalimbali yaliyosababisha vifo vya watu wengi katika miaka ya hivi karibuni. Matukio hayo yamejumuisha ajali za majini, milipuko, mafuriko, ajali za reli, poromoko la majengo na ghasia na vurugu za kisiasa. Hapa chini ni muhtasari wa matukio 13 muhimu...
  2. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Yanga yaanza kutumia “Yanga day” — je, ni kuiga Simba day?

    Kuna mjadala mpya unaoibuka kwenye soka la Tanzania baada ya klabu ya Yanga kutumia kwa nguvu zaidi jina “Yanga Day” katika tamasha lake la mwaka 2026. Kwa miaka kadhaa, tamasha hilo limekuwa likitambulika zaidi kama Siku ya Mwananchi au Wiki ya Mwananchi, majina yaliyokuwa sehemu ya...
  3. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Tetemeko kubwa la ardhi latingisha Colombia — zaidi ya watu 100 wafariki

    Tetemeko kubwa la ardhi lenye nguvu ya 7.4 limeikumba sehemu ya magharibi mwa Colombia, likisababisha uharibifu mkubwa wa majengo na vifo vya zaidi ya watu 100. Tetemeko hilo lilitokea Jumatatu, Agosti 10, 2026, huku kitovu chake kikielezwa kuwa karibu na San José del Palmar, katika eneo la...
  4. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Kondakta wa daladala hana maisha mazuri licha kulala na pesa nzuri

    Ndio maana nakwambia wewe ni Kubwa la vichwa panzi yani kubwa la wajinga.. Kujadilo pesa wanazoingiza wenzetu ni nanmna ya kujifunza.... Mwanaune husipojadili pesa unataka ujadili nini, au unataka ujadili umbea na ushankupe Alafu usidhani kila mtu anakaa kwa shemeji kama wewe unavyokaa hapo...
  5. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Kondakta wa daladala hana maisha mazuri licha kulala na pesa nzuri

    Uwenda inatofautina na route na route... huyo konda kwenye video kasema kwa siku wanabaki na 80,000 ambapo wakiwagawana unakuta mtu kwa siku akosi 30,000
  6. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Kondakta wa daladala hana maisha mazuri licha kulala na pesa nzuri

    Punguza makasiriko huu ni uzi tu... mimi nimewaza tu, kama wanapokea 30 kwa siku, kwa mwezi si ni kama 600,000, ambayo ni sawa na mshahara wa mfanyakazi wa serikali... Wewe unaleta ukubwa jinga, badala uwe kubwa la maadui, unakuwa kubwa la wajinga
  7. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Kondakta wa daladala hana maisha mazuri licha kulala na pesa nzuri

    Ukimsikiliza huyu kondakta vizuri unagundua kwa siku ana uwezo wa kulala na 50,000 Tsh mfukoni ambapo kwa mwezi ni kama 1,500,000 Tsh hiyo ni sawa na mshahara wa Daktari aliyesoma miaka 5 pale muhimbili. Wengine watadai kuwa sio siku zote Kondakta anafanya kazi, basi tufanye ndani ya mwezi...
  8. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Geoffrey Mosiria, Magufuli wa Jiji la Nairobi

    Publicity na camera ni kama evidence endapo itatokea shida Mfano unakuta kuna wakati anakabiliana na wavunja sheria, ambao wanataka kugeuza kibano hili yeye ndio aonekane mwenye makosa, kukiwa na evidence ya tukio kwa video ni rahisi ku-defend Pili video ni kama motisha kwa wengine, unaweza...
  9. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Geoffrey Mosiria, Magufuli wa Jiji la Nairobi

    Yeah jamaa anachapa sana kazi
  10. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Geoffrey Mosiria, Magufuli wa Jiji la Nairobi

    Hivi karibuni ameibuka mtu mmoja nchini Kenya anayefahamika kama Geoffrey Mosiria. Huyu ni kiongozi wa Serikali ya Kaunti ya Nairobi ambaye amejizolea umaarufu mkubwa kutokana na namna anavyotekeleza majukumu yake kwa vitendo, jambo ambalo wananchi wengi wanaona ni tofauti na baadhi ya viongozi...
  11. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu Waha "Maana ya Ndimugwanko" ni nini

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, maana ya Ndimugwanko ni nini? Ningependa kujua maana ya hili neno kutoka Kigoma.
  12. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Raia wa Tanzania na Misri pekee wanaruhusiwa kuingia Sudan Kusini bila visa

    Serikali ya Sudan Kusini imetoa sera mpya iliyosasishwa kuhusu visa, ikibainisha nchi za Afrika ambazo raia wake wanaweza kuingia nchini humo bila kuhitaji visa au kulipa ada yoyote ya visa. Mwongozo huo mpya unaeleza masharti ya kuingia nchini kwa wasafiri kutoka Afrika na maeneo mengine...
  13. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Aliyeua Baba Zake, alikuwa anatuma Pesa akiwa South Africa Wakazitafuna

    Huyu jamaa aliyewapeleka Baba zake (Baba mzazi na Baba Mdogo) akhera a.k.a mbinguni inasemekana alikuwa Afrika Kusini akawa anasukuma harakati zake huko kwa mkabulu. Kama mnavyojua kwa mkabulu ukienda kama foreigner asiyekuwa taaluma basi utapiga kazi za kila aina, waswahili wanasema utakuwa...
  14. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Jaymond kununua nyumba Sweden, anaweza kudhulumiwa

    Msanii wa Kitanzania ambaye alikuwa comedian na sasa ni kama content creator wa video fupi za kucheza mitandaoni ambaye ni Jaymond akiwa na Mpenzi wake Isabella kutoka huko Sweden wamefanikiwa kununua nyumba yao ya kuishi pamoja. https://youtu.be/f4z3j5N8b8g Lakini mimi binafsi naona kama...
  15. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Joshua Baraka anaweza kuja kuwa Tishio East Africa endapo atajipanga vizuri

    Hapa Afrika Mashariki watu wengi uangalia skendo na vitu visivyokuwa na umuhimu hili kumuweka mtu pale kileleni. Diamond Platinumz ni msanii mkubwa tu Afrika Mashariki, lakini soko la dunia la muziki limekuwa likimsumbua sana na ujikuta akitumia nguvu sana kufanya collaboration na A-list wa...
Back
Top Bottom