Recent content by Mhaya

  1. Mhaya

    Kwa Zanzibar ni nchi ya kidini, kwa nini wapiga urabu kwenye Ramadhani wakamatwe?

    Yani unakamata mtu kisa kapiga zake urabu na hajabugzi mtu
  2. Mhaya

    Kwa Zanzibar ni nchi ya kidini, kwa nini wapiga urabu kwenye Ramadhani wakamatwe?

    Zanzibar ni nchi yenye watu wenye Tamaduni na Imani mbalimbali ikiwemo Waislamu na Wakristo. Kuweka katazo la unywaji pombe au uuzwaji pombe ni kuingilia faragha za watu. Kama biashara ya mtu haikubuguzi au unywaji wa mtu hausumbui watu wengine kwa nini mtu anayekunywa pombe Ramadhani akamatwe...
  3. Mhaya

    Je, inawezekana kuhamisha unit za umeme wa Single phase kutoka meter moja kwenda meter nyingine?

    Nimebadilisha matumizi ya umeme kutoka Single phase system kwenda 3 phase system, kwenye remote meter ya single phase system nilibakiza units kama 700 hivi, naweza kuziamishia kwenda single phase nyingine ya jengo jingine? Maana naambiwa Unit za single phase haziwezi kutumika kwenye 3 phase na...
  4. Mhaya

    Trump Ataka Kupitishwa kwa “Save America Act” Ili Kulinda Mfumo wa Uchaguzi na Sera za Kijamii

    Kumekuwa na mjadala mkubwa nchini United States kufuatia wito wa kupitishwa kwa sheria mpya inayojulikana kama “Save America Act.” Sheria hii inapendekezwa na Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump, ambaye amesisitiza kuwa hatua hiyo inalenga kuimarisha uadilifu wa uchaguzi pamoja na kulinda...
  5. Mhaya

    Chama Cha Waislamu Duniani (MWL) Kimechukizwa na Kitendo Cha IRAN kushambulia Nchi za Waarabu

    Fuatilia makombora mangapi yameanguka maeneo ya raia
  6. Mhaya

    Chama Cha Waislamu Duniani (MWL) Kimechukizwa na Kitendo Cha IRAN kushambulia Nchi za Waarabu

    Acha kubisha kama hujui kitu Hipo barua ya kiarabu, kiespania, kifaransa na lugha nyingine. Mimi ndio nimechukua iliyoandikwa kiingereza. Kwenye hiyo website yao ya The Muslim World League Condemns Iranian Aggression Against the Sultanate of Oman kuna sehemu unabadili lugha na kuletewa kila...
  7. Mhaya

    Chama Cha Waislamu Duniani (MWL) Kimechukizwa na Kitendo Cha IRAN kushambulia Nchi za Waarabu

    Burji Khalifa pia ilipata shambulio kidogo... kwani burji Khalifa ni military base
  8. Mhaya

    Derby ya Simba na Yanga yakosa ufuatiliwaji mitandaoni kisa Vita ya IRAN

    Ukitizama uchambuzi wa mitandaoni sasa ni habari za Iran na Marekani na Israel. Hakuna uchambuzi au kelele au shamlashamla kuelekea mechi ya derby itakayopigwa jioni. Hakuna habari yoyote ya Bongo inayotrend kwa sasa
Back
Top Bottom