Recent content by Mhaya

  1. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Jaymond kununua nyumba Sweden, anaweza kudhulumiwa

    Msanii wa Kitanzania ambaye alikuwa comedian na sasa ni kama content creator wa video fupi za kucheza mitandaoni ambaye ni Jaymond akiwa na Mpenzi wake Isabella kutoka huko Sweden wamefanikiwa kununua nyumba yao ya kuishi pamoja. https://youtu.be/f4z3j5N8b8g Lakini mimi binafsi naona kama...
  2. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Joshua Baraka anaweza kuja kuwa Tishio East Africa endapo atajipanga vizuri

    Hapa Afrika Mashariki watu wengi uangalia skendo na vitu visivyokuwa na umuhimu hili kumuweka mtu pale kileleni. Diamond Platinumz ni msanii mkubwa tu Afrika Mashariki, lakini soko la dunia la muziki limekuwa likimsumbua sana na ujikuta akitumia nguvu sana kufanya collaboration na A-list wa...
  3. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Mtafuta hifadhi kutoka Tanzania ashambuliwa nchini Afrika Kusini huku akikabiliwa na upinzani wa “Hakuna vita Tanzania”

    Jamaaa kachezea kichapo huku wakimwambia arudi Tanzania hakuna vita https://youtube.com/shorts/r9bgzFwNXPY?si=zRzlcPttmfmZ2mVB
  4. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Kwa Zanzibar ni nchi ya kidini, kwa nini wapiga urabu kwenye Ramadhani wakamatwe?

    Yani unakamata mtu kisa kapiga zake urabu na hajabugzi mtu
  5. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Kwa Zanzibar ni nchi ya kidini, kwa nini wapiga urabu kwenye Ramadhani wakamatwe?

    Zanzibar ni nchi yenye watu wenye Tamaduni na Imani mbalimbali ikiwemo Waislamu na Wakristo. Kuweka katazo la unywaji pombe au uuzwaji pombe ni kuingilia faragha za watu. Kama biashara ya mtu haikubuguzi au unywaji wa mtu hausumbui watu wengine kwa nini mtu anayekunywa pombe Ramadhani akamatwe...
  6. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Je, inawezekana kuhamisha unit za umeme wa Single phase kutoka meter moja kwenda meter nyingine?

    Nimebadilisha matumizi ya umeme kutoka Single phase system kwenda 3 phase system, kwenye remote meter ya single phase system nilibakiza units kama 700 hivi, naweza kuziamishia kwenda single phase nyingine ya jengo jingine? Maana naambiwa Unit za single phase haziwezi kutumika kwenye 3 phase na...
  7. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Trump Ataka Kupitishwa kwa “Save America Act” Ili Kulinda Mfumo wa Uchaguzi na Sera za Kijamii

    Kumekuwa na mjadala mkubwa nchini United States kufuatia wito wa kupitishwa kwa sheria mpya inayojulikana kama “Save America Act.” Sheria hii inapendekezwa na Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump, ambaye amesisitiza kuwa hatua hiyo inalenga kuimarisha uadilifu wa uchaguzi pamoja na kulinda...
  8. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Chama Cha Waislamu Duniani (MWL) Kimechukizwa na Kitendo Cha IRAN kushambulia Nchi za Waarabu

    Fuatilia makombora mangapi yameanguka maeneo ya raia
  9. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Chama Cha Waislamu Duniani (MWL) Kimechukizwa na Kitendo Cha IRAN kushambulia Nchi za Waarabu

    Acha kubisha kama hujui kitu Hipo barua ya kiarabu, kiespania, kifaransa na lugha nyingine. Mimi ndio nimechukua iliyoandikwa kiingereza. Kwenye hiyo website yao ya The Muslim World League Condemns Iranian Aggression Against the Sultanate of Oman kuna sehemu unabadili lugha na kuletewa kila...
  10. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Chama Cha Waislamu Duniani (MWL) Kimechukizwa na Kitendo Cha IRAN kushambulia Nchi za Waarabu

    Burji Khalifa pia ilipata shambulio kidogo... kwani burji Khalifa ni military base
  11. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Derby ya Simba na Yanga yakosa ufuatiliwaji mitandaoni kisa Vita ya IRAN

    Sawa mwalimu wa Kiswahili
Back
Top Bottom