Tanzania imeshuhudia matukio mbalimbali yaliyosababisha vifo vya watu wengi katika miaka ya hivi karibuni. Matukio hayo yamejumuisha ajali za majini, milipuko, mafuriko, ajali za reli, poromoko la majengo na ghasia na vurugu za kisiasa. Hapa chini ni muhtasari wa matukio 13 muhimu...
Kuna mjadala mpya unaoibuka kwenye soka la Tanzania baada ya klabu ya Yanga kutumia kwa nguvu zaidi jina “Yanga Day” katika tamasha lake la mwaka 2026.
Kwa miaka kadhaa, tamasha hilo limekuwa likitambulika zaidi kama Siku ya Mwananchi au Wiki ya Mwananchi, majina yaliyokuwa sehemu ya...
Tetemeko kubwa la ardhi lenye nguvu ya 7.4 limeikumba sehemu ya magharibi mwa Colombia, likisababisha uharibifu mkubwa wa majengo na vifo vya zaidi ya watu 100.
Tetemeko hilo lilitokea Jumatatu, Agosti 10, 2026, huku kitovu chake kikielezwa kuwa karibu na San José del Palmar, katika eneo la...
Ndio maana nakwambia wewe ni Kubwa la vichwa panzi yani kubwa la wajinga..
Kujadilo pesa wanazoingiza wenzetu ni nanmna ya kujifunza.... Mwanaune husipojadili pesa unataka ujadili nini, au unataka ujadili umbea na ushankupe
Alafu usidhani kila mtu anakaa kwa shemeji kama wewe unavyokaa hapo...
Uwenda inatofautina na route na route... huyo konda kwenye video kasema kwa siku wanabaki na 80,000 ambapo wakiwagawana unakuta mtu kwa siku akosi 30,000
Punguza makasiriko huu ni uzi tu... mimi nimewaza tu, kama wanapokea 30 kwa siku, kwa mwezi si ni kama 600,000, ambayo ni sawa na mshahara wa mfanyakazi wa serikali...
Wewe unaleta ukubwa jinga, badala uwe kubwa la maadui, unakuwa kubwa la wajinga
Ukimsikiliza huyu kondakta vizuri unagundua kwa siku ana uwezo wa kulala na 50,000 Tsh mfukoni ambapo kwa mwezi ni kama 1,500,000 Tsh hiyo ni sawa na mshahara wa Daktari aliyesoma miaka 5 pale muhimbili.
Wengine watadai kuwa sio siku zote Kondakta anafanya kazi, basi tufanye ndani ya mwezi...
Publicity na camera ni kama evidence endapo itatokea shida
Mfano unakuta kuna wakati anakabiliana na wavunja sheria, ambao wanataka kugeuza kibano hili yeye ndio aonekane mwenye makosa, kukiwa na evidence ya tukio kwa video ni rahisi ku-defend
Pili video ni kama motisha kwa wengine, unaweza...
Hivi karibuni ameibuka mtu mmoja nchini Kenya anayefahamika kama Geoffrey Mosiria. Huyu ni kiongozi wa Serikali ya Kaunti ya Nairobi ambaye amejizolea umaarufu mkubwa kutokana na namna anavyotekeleza majukumu yake kwa vitendo, jambo ambalo wananchi wengi wanaona ni tofauti na baadhi ya viongozi...
Serikali ya Sudan Kusini imetoa sera mpya iliyosasishwa kuhusu visa, ikibainisha nchi za Afrika ambazo raia wake wanaweza kuingia nchini humo bila kuhitaji visa au kulipa ada yoyote ya visa.
Mwongozo huo mpya unaeleza masharti ya kuingia nchini kwa wasafiri kutoka Afrika na maeneo mengine...
Huyu jamaa aliyewapeleka Baba zake (Baba mzazi na Baba Mdogo) akhera a.k.a mbinguni inasemekana alikuwa Afrika Kusini akawa anasukuma harakati zake huko kwa mkabulu. Kama mnavyojua kwa mkabulu ukienda kama foreigner asiyekuwa taaluma basi utapiga kazi za kila aina, waswahili wanasema utakuwa...
Msanii wa Kitanzania ambaye alikuwa comedian na sasa ni kama content creator wa video fupi za kucheza mitandaoni ambaye ni Jaymond akiwa na Mpenzi wake Isabella kutoka huko Sweden wamefanikiwa kununua nyumba yao ya kuishi pamoja.
https://youtu.be/f4z3j5N8b8g
Lakini mimi binafsi naona kama...
Hapa Afrika Mashariki watu wengi uangalia skendo na vitu visivyokuwa na umuhimu hili kumuweka mtu pale kileleni.
Diamond Platinumz ni msanii mkubwa tu Afrika Mashariki, lakini soko la dunia la muziki limekuwa likimsumbua sana na ujikuta akitumia nguvu sana kufanya collaboration na A-list wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.