MFUMO WA KUTAHINI WA NBAA UTAZAMWE UPYA
Naishangaa sana NBAA. Wakati nchi nyingine za muungano wa jumuia ya Afrika Mashariki zikifanya kila juhudi kuhakikisha wananchi wake hawaachwi nyuma kielimu,NBAA yenyewe inafanya kila juhudi za kupunguza watu wenye CPA hapa Tanzania.
Wakati nchi...
MFUMO WA KUTAHINI WA NBAA UTAZAMWE UPYA
Naishangaa sana NBAA. Wakati nchi nyingine za muungano wa jumuia ya Afrika Mashariki zikifanya kila juhudi kuhakikisha wananchi wake hawaachwi nyuma kielimu,NBAA yenyewe inafanya kila juhudi za kupunguza watu wenye CPA hapa Tanzania.
Wakati nchi...
Paper zitakuwa kumi kwa wanafunzi wote wenye degree ya Accountancy ! Jiandae kufanya mitihani kumi ya masaa matatu matatu. Huku sijui ni kuiendeleza hii tasnia ya Uhasibu au kuiua ! Hivi hii NBAA inasimamiwa na nani ?
Inauma sana na kwa kweli imenisikitisha sana, yaan Tanzania tumefikia mahali kwamba ukitetea UTAWALA BORA wewe unaonekana msaliti. Mtu kama ZITO KABWE kitendo chake cha kuhoji MAPATO na MATUMIZI ya chama tena ni utaratibu ambao unajulikana kisheria lakini leo hii anaonekana ni msaliti na hafai...
Hapo bado wamemtambua CAG tu tunataka tunataka na ACCOUNTANT GENERAL nae awepo kwenye katiba mpya na ijulikane umuhimu wake na wajibu wake ! Haya mambo ya kumtaja indirect ndio yanayoturudisha nyuma wahasibu ! Mpaka mishahara yetu nayo inakuwa nyuma !
hizi paper 6 tu , nanga inapaa .sasa wanataka kuleta paper kumi. Hawa jamaa kweli wamenuia kuiua hii tasnia ya uhasibu. Mimi nilidhani paper zitapungua na kuwa 4. Kumbe ndo zimeeongezeka. Hivi tunajua, serikali inasimamiwa na bunge. Hii NBAA inasimamiwa na nani ?
Hao wako tofauti kabisa. Mkaguzi mkuu kazi yake ni kukagua tu, tena ni mpaka aagizwe kufanya hivyo. Lakini mhasibu mkuu kazi yake ni uhasibu tu. Tena hasubiri mpaka aagizwe kufanya kazi yake hiyo !
Yaani mimi binafsi siungi mkono kabisa rasimu hii. Kwa kuwa ukiisoma rasimu nzima hakuna hata sehemu moja imetambua uwepo wa Mhasibu Mkuu wa serikali. Yaani taaluma hii ya uhasibu haikuguswa kabisa ! Nataka katiba mya ilitambue hilo !
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu ripoti ya ukaguzi ya mwaka wa fedha ulioishia 30 Juni, 2012 zilizowasilishwa bungeni jana mjini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu...
Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amemuweka kitanzini aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, baada ya kushauri ashtakiwe pamoja na mkewe, Clara, kutokana ukiukwaji wa sheria katika kutoa zabuni.
Mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.