Recent content by MHASIBU HALISI

  1. MHASIBU HALISI

    Natafuta kazi ya uhasibu Morogoro

    PART TIME ??? HIVI WW UNAUJUA UHASIBU AU ???? YAAN PART TIME KABISA ...???? LABDA KWA VIJITAASISI VIDOGO SANA. MAY BE DUKA LA KAWAIDA KABISA
  2. MHASIBU HALISI

    Polisi wazingira Mahafali ya CHASO Dodoma, Watawanywa kwa nguvu

    DUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUH
  3. MHASIBU HALISI

    Mfumo wa kutahini wa NBAA utazamwe upya

    MFUMO WA KUTAHINI WA NBAA UTAZAMWE UPYA Naishangaa sana NBAA. Wakati nchi nyingine za muungano wa jumuia ya Afrika Mashariki zikifanya kila juhudi kuhakikisha wananchi wake hawaachwi nyuma kielimu,NBAA yenyewe inafanya kila juhudi za kupunguza watu wenye CPA hapa Tanzania. Wakati nchi...
  4. MHASIBU HALISI

    Mfumo wa kutahini wa NBAA utazamwe upya

    MFUMO WA KUTAHINI WA NBAA UTAZAMWE UPYA Naishangaa sana NBAA. Wakati nchi nyingine za muungano wa jumuia ya Afrika Mashariki zikifanya kila juhudi kuhakikisha wananchi wake hawaachwi nyuma kielimu,NBAA yenyewe inafanya kila juhudi za kupunguza watu wenye CPA hapa Tanzania. Wakati nchi...
  5. MHASIBU HALISI

    Nbaa revised syllabus

    Paper zitakuwa kumi kwa wanafunzi wote wenye degree ya Accountancy ! Jiandae kufanya mitihani kumi ya masaa matatu matatu. Huku sijui ni kuiendeleza hii tasnia ya Uhasibu au kuiua ! Hivi hii NBAA inasimamiwa na nani ?
  6. MHASIBU HALISI

    Masikini Zitto Kabwe !

    Inauma sana na kwa kweli imenisikitisha sana, yaan Tanzania tumefikia mahali kwamba ukitetea UTAWALA BORA wewe unaonekana msaliti. Mtu kama ZITO KABWE kitendo chake cha kuhoji MAPATO na MATUMIZI ya chama tena ni utaratibu ambao unajulikana kisheria lakini leo hii anaonekana ni msaliti na hafai...
  7. MHASIBU HALISI

    Kwanini Zitto anashambuliwa kwa kufuatilia matumizi ya fedha za umma?

    Nakupongeza sana kwa kuvikaba koo vyama vya siasa visivyofuata taratibu za fedha. Hongera sana kaza buti mpaka kieleweke !
  8. MHASIBU HALISI

    Siungi mkono rasimu ya katiba mpya

    Hapo bado wamemtambua CAG tu tunataka tunataka na ACCOUNTANT GENERAL nae awepo kwenye katiba mpya na ijulikane umuhimu wake na wajibu wake ! Haya mambo ya kumtaja indirect ndio yanayoturudisha nyuma wahasibu ! Mpaka mishahara yetu nayo inakuwa nyuma !
  9. MHASIBU HALISI

    Nbaa revised syllabus

    hizi paper 6 tu , nanga inapaa .sasa wanataka kuleta paper kumi. Hawa jamaa kweli wamenuia kuiua hii tasnia ya uhasibu. Mimi nilidhani paper zitapungua na kuwa 4. Kumbe ndo zimeeongezeka. Hivi tunajua, serikali inasimamiwa na bunge. Hii NBAA inasimamiwa na nani ?
  10. MHASIBU HALISI

    Siungi mkono rasimu ya katiba mpya

    Hao wako tofauti kabisa. Mkaguzi mkuu kazi yake ni kukagua tu, tena ni mpaka aagizwe kufanya hivyo. Lakini mhasibu mkuu kazi yake ni uhasibu tu. Tena hasubiri mpaka aagizwe kufanya kazi yake hiyo !
  11. MHASIBU HALISI

    Siungi mkono rasimu ya katiba mpya

    Yaani mimi binafsi siungi mkono kabisa rasimu hii. Kwa kuwa ukiisoma rasimu nzima hakuna hata sehemu moja imetambua uwepo wa Mhasibu Mkuu wa serikali. Yaani taaluma hii ya uhasibu haikuguswa kabisa ! Nataka katiba mya ilitambue hilo !
  12. MHASIBU HALISI

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh Abaini Ubadhirifu Mkubwa

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu ripoti ya ukaguzi ya mwaka wa fedha ulioishia 30 Juni, 2012 zilizowasilishwa bungeni jana mjini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu...
  13. MHASIBU HALISI

    CAG ataka kigogo Tanesco, mkewe washitakiwe

    Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amemuweka kitanzini aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, baada ya kushauri ashtakiwe pamoja na mkewe, Clara, kutokana ukiukwaji wa sheria katika kutoa zabuni. Mbali...
  14. MHASIBU HALISI

    Nbaa revised syllabus

    NBAA revised syllabus
  15. MHASIBU HALISI

    Ubora wa Shahada za Uzamili kutoka Chuo Kikuu Mzumbe

    Mzumbe ni sawa na NBAA kazi yao NBAA ni kutunga mitihani migumu tu, lakini kinachoendelea kwenye Review Classes hawakijui. Asante kwa taarifa !
Back
Top Bottom