Kila mtu anahaki ya kusikilizwa....naamini Zitto akipewa haki hii ya kusilizwa hatafanya kosa....atasikika kilio chake juu ya Demokrasia#Zitto na Demokrasia#
Bwana Mengi hawajamaa wamekua sio wakweli kabsa sijui kuna tatizo gani......yaani sasa hizo maliasili za watanzania sinaganyiwa ujanja ujanja sio nzuri na watambue tu siasa sio uongo wanapoumbuka wanakua wamechafuka kabsa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.