Recent content by Mhaini

  1. Mhaini

    Ni nani anamtishia maisha Kamishna wa kupambana na Dawa za Kulevya?

    Hapa Nchini aliyepo juu ya Sheria ambaye tumesikia mara kadhaa anafanya atakavyo ni 'mmoja' tu! Hakuna Mwingine mwenye jeuri ya kumtisha Kamishina wa madawa ya kulevya. Halafu Polisi wanafuatilia watu wanaoandika Mitandaoni na kudaia Serikali ina Mkono mrefu, halafu wanashindwa kukamata mtu...
  2. Mhaini

    Maajabu: Mahakama Kuu ya Tanzania, haina njia ya kupitia Walemavu

    Hii inawezeekanaje Karne hii? Na Majaji, Mawaki wapo kimya. Hata kama jengo la zamani. Siku hizi kuna teknolojia ya kuweka njia ya Walemavu hata kama gorofa 10. Na viongozi wa Mahakama wametulia tuli kwenye Mashangingi ya walipakodi wa Tanzania Walemavu. Hii ni aibu kwa Mzanzibari Samia...
  3. Mhaini

    CHADEMA yatajwa kuwa Chama Kikuu cha siasa Nchini Tanzania

    Upo sahihi. Chadema sio chama cha upinzani bali chama kikuu cha siasa Tanzania
  4. Mhaini

    CCM walijua Geoffrey Mwambe atalamba Miguu, Mnamtesa bure. Hawezi

    Eti Mwambe alikamatwa kwa kosa la kutaka kumuua mkuu wa Polisi. Eti kala njama🤣🤣🤣
  5. Mhaini

    CCM walijua Geoffrey Mwambe atalamba Miguu, Mnamtesa bure. Hawezi

    Matusi yako uwe unayaongea kwenye meza ukiwa unakula na mama yako, sio kwenye thread zetu kwani sio siye tulio kuzaa na tabia mbaya
  6. Mhaini

    CCM walijua Geoffrey Mwambe atalamba Miguu, Mnamtesa bure. Hawezi

    Mmakubwa haya. Sijui unamchokoza nani mtukanane
  7. Mhaini

    CCM walijua Geoffrey Mwambe atalamba Miguu, Mnamtesa bure. Hawezi

    Ukute washampa uhaini. Yeye ni mtaaluma. Magufuli akamwambia akagombee ubunge amsaidie kusimamia wizara kama waziri. Leo anateswa na misimamo yake. Mtu mwenye akili timamu huwezi kalia kimya ishu ya Polepole
  8. Mhaini

    CCM walijua Geoffrey Mwambe atalamba Miguu, Mnamtesa bure. Hawezi

    Ukute kakataa rushwa. Au kapinga ufisadi.. Amenyoka jama rula.. Mzalendo namba moja. Msomi. Eti leo anaozea korokoroni.. Ni Mwansiasa wa CCM ila hutakuta anagombana na mtu. Ni mpole sana.. Kaliba ya Mwandosya
  9. Mhaini

    CCM walijua Geoffrey Mwambe atalamba Miguu, Mnamtesa bure. Hawezi

    Natamani Polisi waje waseme. Lakini kumshikilia sio tatizo. Kwanini hapelekwi mahakamani kama ana makosa?
  10. Mhaini

    CCM walijua Geoffrey Mwambe atalamba Miguu, Mnamtesa bure. Hawezi

    Vyombo vyetu vya habari vimekaa kimya. Japo Mimi sio CCM ila Mwambe ni Hazina ya taifa. Ni mwanasiasa anayejali watu wa vyama vyote. Mtanzania halisi asiye na unafiki Kwa mara ya kwanza nilionana naye akiwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC). Nilienda na Wanahabari, but...
Back
Top Bottom