Hapa Nchini aliyepo juu ya Sheria ambaye tumesikia mara kadhaa anafanya atakavyo ni 'mmoja' tu!
Hakuna Mwingine mwenye jeuri ya kumtisha Kamishina wa madawa ya kulevya.
Halafu Polisi wanafuatilia watu wanaoandika Mitandaoni na kudaia Serikali ina Mkono mrefu, halafu wanashindwa kukamata mtu...
Hii inawezeekanaje Karne hii? Na Majaji, Mawaki wapo kimya.
Hata kama jengo la zamani. Siku hizi kuna teknolojia ya kuweka njia ya Walemavu hata kama gorofa 10.
Na viongozi wa Mahakama wametulia tuli kwenye Mashangingi ya walipakodi wa Tanzania Walemavu.
Hii ni aibu kwa Mzanzibari Samia...
Ukute washampa uhaini. Yeye ni mtaaluma. Magufuli akamwambia akagombee ubunge amsaidie kusimamia wizara kama waziri. Leo anateswa na misimamo yake. Mtu mwenye akili timamu huwezi kalia kimya ishu ya Polepole
Ukute kakataa rushwa. Au kapinga ufisadi.. Amenyoka jama rula.. Mzalendo namba moja. Msomi. Eti leo anaozea korokoroni.. Ni Mwansiasa wa CCM ila hutakuta anagombana na mtu. Ni mpole sana.. Kaliba ya Mwandosya
Vyombo vyetu vya habari vimekaa kimya. Japo Mimi sio CCM ila Mwambe ni Hazina ya taifa. Ni mwanasiasa anayejali watu wa vyama vyote. Mtanzania halisi asiye na unafiki
Kwa mara ya kwanza nilionana naye akiwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC). Nilienda na Wanahabari, but...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.