Parking ya Halmashauri ya Temeke. Kwanza ukienda kupark unakuta mafundi wappo wanatengeneza magari..🤣🤣 Hela wanajua kukusanya, ila kujenga parking aah!
Temeke Parking zote mliwauzia watu wa ICD waweke Makotena yao. Hata Hospitali ina parking ndogo ya Wafanyakazi na Ambulance mbili tu.
Ukiacha kujibana pembeni ya barabara kisha unalipishwa, Twambie ni Wapi temeke wamenjenga parking kwa ajili ya watu binafsi.
Kwanza Kabisa Bandari ipo Temeke, Uwanja wa Ndege Temeke, Uwanja wa Taifa Temeke. Lakini wamekosa ubunofu wa kukusanya kodi, wanaamua kukudandia ukipark kidogo tu gari inabebwa unapigwa faaini. Kwamba ndo ubunifu wa kuingiza kipato Halmashauri.
Ukiwauliza Parking kwa Temeke zipo wapi hata za...
Hapa Nchini aliyepo juu ya Sheria ambaye tumesikia mara kadhaa anafanya atakavyo ni 'mmoja' tu!
Hakuna Mwingine mwenye jeuri ya kumtisha Kamishina wa madawa ya kulevya.
Halafu Polisi wanafuatilia watu wanaoandika Mitandaoni na kudaia Serikali ina Mkono mrefu, halafu wanashindwa kukamata mtu...
Hii inawezeekanaje Karne hii? Na Majaji, Mawaki wapo kimya.
Hata kama jengo la zamani. Siku hizi kuna teknolojia ya kuweka njia ya Walemavu hata kama gorofa 10.
Na viongozi wa Mahakama wametulia tuli kwenye Mashangingi ya walipakodi wa Tanzania Walemavu.
Hii ni aibu kwa Mzanzibari Samia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.