Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Wazazi wa siku hizi hawataki kulea watoto wao! Sio wababa wala wamama, kukimbizana na starehe za mjini jumatatu hadi jumatatu!
Kila mtu anavuna alichopanda, I'm sure report cards za mtoto kama huyu zilikuwa kila temu zimeandikwa na kupelekwa kwa mzazi.
bange bana.....bange mbaya sana!!
Hao majita ndo walikuwa wanamlipia ada? Nyambaf kabisa!!