Recent content by Mhabarishaji

  1. M

    PreGE2025 Mbowe: Wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea

    Missile of the Nation: Tafadhali ifungulie Thread ya kivyake, Video hii. Watanzania ni wepesi wa kusahau. Thread yako ikiambatana na Video hii, itafungua macho ya wengi, kuhusu jinsi Mbowe alivyogeuka 180 degrees, baada ya miezi michache. Narudia tena, Missile of the Nation; TAFADHALI SANA! THIS...
  2. M

    Waumini wa FGBF wampa zawadi ya nyumba Askofu Kakobe na Mkewe

    Kwa hili umeongeza chumvi. Wakati wa ujenzi huo nimepita sana barabara hiyo. Kwenye kibao cha construction, jina la client liliandikwa, "FGBF GROUP OF DEVOTED MEMBERS". Huo ndiyo ukweli. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu!
  3. M

    Ujasusi niliofanya Kakonko ili kumuokoa Askofu Kakobe juu ya suala la uraia wake 2018

    Wewe Elia F. Michael, uliyeweka uzi huu hapa, ni MWONGO! Mimi Mhabarishaji ndiye niliyefanya uchunguzi huo, na kuandika bandiko hilo la uchunguzi wa uraia wa Askofu Kakobe, katika HABARI NA HOJA MCHANGANYIKO tarehe 23 May 2018, na mtu yeyote akiangalia uzi huo wenye kichwa "Uhamiaji waenda...
  4. M

    Uhamiaji waenda kuchunguza uraia wa Askofu Mkuu Kakobe kijijini kwake, wazee mashuhuri kijijini wathibitisha uraia wake

    Baada ya kupiga kambi hapa wilayani Kakonko, kwa wiki mbili sasa, uchunguzi wangu umebaini pasipo shaka, kwamba, Idara ya Uhamiaji, Dar-Es-Salaam; imewatuma maafisa wapelelezi wawili, mwishoni mwa mwezi uliopita, wilayani hapa, ili kuchunguza uraia wa Askofu Mkuu Zachary Kakobe. Wapelelezi hawa...
  5. M

    GE2020 Zitto agombee urais kwa niaba ya vyama vya upinzani 2020

    1.5 TRILLION ZIKO WAPI? Hili ndilo suala pekee la msingi kwa sasa! Usitutoe kwenye reli!
  6. M

    Askofu Mkuu Zachary Kakobe aitwa Uhamiaji Jumatatu kuhojiwa juu ya uraia wake

    Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Dar-Es-Salaam, imemwandikia barua Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Askofu Zachary Kakobe, kumwita kwa ajili ya mahojiano. Barua hiyo yenye Kumbukumbu Na. BA: 120/231/02/82 ya tarehe 5.4.2018, imemtaka Askofu Kakobe kufika katika ofisi...
  7. M

    Dalili za Lowassa na Kingunge kutimukia UKAWA hizi hapa

    Mpaka sasa Watanzania wengi, viongozi na raia wa kawaida, bado wana hofu ya kuwa upande wa upinzani. Lowassa na wafuasi wake lukuki wakihamia CHADEMA wataondoa hofu hiyo. Siyo hilo tu, uwezo alio nao Lowassa, wa kuibomoa CCM ni mkubwa mno kwa mbali, kuliko uwezo aliokuwa nao Mrema mwaka 1995...
  8. M

    Kakobe amshukia Lowassa, azungumza kuhusu Kura ya Maoni

    Well said Bishop Kakobe, hats off to you!
  9. M

    Joto la CCM ni kali sana, wapinzani wanavua gwanda "automatically"

    Joto kali la CCM ni hilo la kwenda Dodoma kwa fisadi Lowassa kuhesabiwa?
  10. M

    Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA, Zitto Kabwe ahamia rasmi ACT Tanzania

    Maneno ya Mbowe yamedhihirika,"Hatuwezi kumvumilia mtu anayeanzisha chama ndani ya chama"!
  11. M

    Je, Masheikh wa Bagamoyo wametumwa na Jakaya kumuomba Lowassa agombee Urais?

    Kamati ya maadili mnaona mambo haya ya Team-Lowassa????
  12. M

    CHADEMA inatumia koti la UKAWA kujikongoja kisiasa

    Na CCM imevaa koti la MAKABURU!
  13. M

    ACT-Tanzania kufanya Mkutano Mkubwa Tegeta Jumapili; Zitto Kupewa kadi

    Tulitaka aende CCM anakoshabikiwa na wengi! Cha ajabu hakuna hata mtu mmoja CCM anayemkaribisha Zitto hata kwa kauli ya unafiki! MiCCCM bhanaaaa!!!!!
Back
Top Bottom