Mambo ya kujikwamua kiuchumi au biashara mimi huwa nalichukulia ni swala binafsi. Serikali yenyewe haiko tayari kumsaidia mtu mfano chukulia Serikali imeweka mfuko wa jimbo je hiyo fedha huwa inafanya jambo gani? Kuna pesa zile za halmashauri za 10% zina mlolongo mpaka basi .
Nenda tena kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.