Recent content by Mgoshingwa

  1. Mgoshingwa

    Usafiri wa magari ya abiria Tanzania bado ni hatari

    Pambana na tatizo badala ya kukimbilia kupiga marufuku. Usije siku moja ukapiga marufuku kulala kitandani sababu watu wengi hufia kitandani
  2. Mgoshingwa

    Sugu: SGR maana yake siyo reli ya umeme, hata TAZARA ni SGR

    Mbona SGR ya Kenya inatumia diesel!
  3. Mgoshingwa

    Kati ya Tanzania shilling na Zambian Kwacha ni fedha ipi yenye Thamani?

    1000 Japanese yen = 9 .1 US $ . Hivi hii inamaanisha pesa ya Zambia iko juu kuliko ya Japan. Thamani ya pesa inapimwa kwa nguvu yake sokoni sio ukubwa wa namba kwenye kubadilisha
  4. Mgoshingwa

    Wajuzi wa sheria mtijuze kuhusu hadhi ya Amirijeshi Mkuu

    Wanajeshi ni moja ya makundi ambayo hawaruhusiwi kuwa wanchama wa vyama vya siasa. Kwa Amirijeshi wetu mkuu mbona sio mwanachama tu bali kiongozi namba moja wa CCM. Bob Wangwe, Shangazi na wengine hebu tafuteni tafsiri mahakani kutokana na hatari iliyopo kwa kuchangany hizi nyadhifa
  5. Mgoshingwa

    Anauejua kihusu sakata la ving'amuzi vya kulipia na kutoonyesha local channels atujuz^

    Channels xa Kenya na Uganda na tbc zinaendelea kuonekana kasoro za tz. Hapo vipi, au tbc sio local ndio maana wamepoa?
  6. Mgoshingwa

    Anauejua kihusu sakata la ving'amuzi vya kulipia na kutoonyesha local channels atujuz^

    Local channels zimekaywa na bado tunalipa kama kawa, nani anaibiwa?
  7. Mgoshingwa

    Biashara ya Sungura na Bata maji

    Sungura wa kienyeji 10,000/= na wa kisasa 30,000/=. Nyama ni 10,000/= kwa kg. Bata 8,000/= kwa kg
  8. Mgoshingwa

    Biashara ya Sungura na Bata maji

    Sungura wa kienyeji 10,000 wa kisasa 30,000. Nyama 10,000/kg. Bata 8,000/kg
  9. Mgoshingwa

    Biashara ya Sungura na Bata maji

    Nina sungura zaidi ya 150 na bata 100. Natafuta wateja. Nipo Singida. 0752011156
  10. Mgoshingwa

    Biashara ya Sungura na Bata maji

    Nina sungura zaidi ya 150 na bata 100. Natafuta wateja. Nipo Singida. 0752011156
  11. Mgoshingwa

    Mkurugenzi wa Jiji Amtumbua Mganga Mfawidhi kwa kuwakimbia wagonjwa na kwenda kula Pasaka

    Sheria ya ajira na mahusiano kazini hairuhusu mtumishi kufanya kazi mfululizo kwa zaidi ya masaa 12. Huyo mwanasiasa anayeamrisha Dr. awe tayari kutumika masaa 24 anatambua hili? Serikali iangalie namna ya kuwaajiri madaktari wa kutosha sio kuwaadhibu hawa wachache wanajitoa kufanya kazi zaidi...
  12. Mgoshingwa

    Kunyimwa uhamisho Wa mtoto

    Ukitaka kujua wapi mtoto wako atapata elimu bora angalia viongozi wetu wanaosimamia elimu wanapeleka wapi watoto wao. Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako
  13. Mgoshingwa

    Gaudensia Kabaka aeleza sababu za kuzuia Ujenzi wa Msikiti UDOM na kuhamisha wafanyakazi wa hapo

    Imani zenu mmeacha mnagombana Kwa ajili ya dini za watesi wenu. Shame on you.
  14. Mgoshingwa

    Hivi Kiswahili ni kigumu hivi au watu tuna matatizo ya uelewa? Je, neno 'Udhaifu wa Bunge' ni sawa na 'Bunge Dhaifu'? CAG hajasema Bunge dhaifu

    Kosa la CAG kwa mujibuwa wakosoaji wake ni kuonyesha udhaifu wa bunge baada ya kuhojiwa na chombo cha nje. Hivi walitaka asijibu maswali kwa kuwa tu bado hajahojiwa na chombo cha ndani. Lakini kwa wenye kumbukumbu nzuri watakumbuka kuwa hii sio mara ya kwanza kwa CAG kueleza udhaifu huu...
  15. Mgoshingwa

    Mwananyamala hospitali jijini Dar mnavyowafanyia Wagonjwa si sahihi. Serikali mulika manesi wa hii hospitali

    Moja ya mafanikio yetu ni kurudisha nidhamu ya utimishi wa umma. Wewe unayelalamikia huduma utakuwa mpinzani
Back
Top Bottom