Recent content by mganji jr

  1. mganji jr

    Kumbukumbu ya kifo cha mpendwa wetu Hayati Rais John Magufuli

    JPM PUMZIKA KWA AMANI , TAIFA LINAHITAJI VIONGOZI WENGI WA KALIBA YAKO. NITAKUKUMBUKA DAIMA MILELEEE! Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
  2. mganji jr

    Dark days 17/03/20

    Next will be whom? Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
  3. mganji jr

    Dark days 17/03/20

    Mrembo wa TAIFA Yoga[emoji7] , Tupe burudani na simanzi tumeisubiri kwa KITAMBO We luv u[emoji3590] Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
  4. mganji jr

    Baada ya kufikisha miaka 30 uligundua kimebadilika nini katika maisha yako?

    Members wengi humu under 35 na ndo wanaongoza kwa matusi na ujuaji mwingi[emoji16][emoji23] Tukirudi kwenye hoja ya mtoa Mada 30 ni umri wakua umeshaoa angalau mtoto mmoja pamoja na kuisimamia na kuiongoza Familia kama unakipato Cha halali. Kama wewe kipato chako ni Cha dhulma basi unapaswa Kuwa...
  5. mganji jr

    Simba tujitathimini huu ni udhalilishaji uliokidhiri...

    Robertinho afukuzwe aje juma mgunda over.
  6. mganji jr

    Makonda aiagiza Serikali impe Mbowe kibali cha kuruka na Helicopter na kama hana mafuta ameongea na Rais ili wamsaidie

    Mimi binafsi Naona makonda kawekwa na msoga gang kummaliza askofu mfufua watu[emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ama kweli ukistaajabu ya mussa utayaona ya firauni[emoji2960]. Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
  7. mganji jr

    Hii haikubaliki, Msajili ifute CCM mara moja

    Akili za hawa ni kama za Viongozi wa Africa waliobebwa kwenye Gari moja walipokua ulaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. mganji jr

    Hii haikubaliki, Msajili ifute CCM mara moja

    Pascal ni chawa anaye tafuta uteuzi wala si wa kumwamini.
  9. mganji jr

    Ukistaajabu ya Singida, utayaona ya Tabora

    Acha ujinga na uchawa mbona mnasomba watu kwenye mabasi? Acheni kusomba , watu waende Wenyewe...! Pumbavu zenu mnatia kinyaaaaa[emoji57][emoji57]
  10. mganji jr

    Tusipokuwa makini, SGR ni janga lijalo

    Basi tumshukuru bwana kwa zawadi ya maisha ya uhai wake hapa duniani. Tuendelee kuelimishana na kuchukua mazuri ya kila mmoja wetu na kuyadumisha. Mabaya Yote kama binadamu tuachane nayo na tujenge nchi yetu kwa umoja, upendo na mshikamano. Hatuna tz nyingine zaidi ya hii. Mungu aendelee...
  11. mganji jr

    Tusipokuwa makini, SGR ni janga lijalo

    Mshana toka nmeona uwepo wako humu jf pamoja na news zako nyingi si SIRI unajua vingi na tunapaswa kujifunza mengi kutoka kwako. Hongera Sana kwa vipawa ulivyo barikiwa na Mungu. Lkn swali la kizushi ivi kwa nini ulimchukia JPM ?
  12. mganji jr

    Tusipokuwa makini, SGR ni janga lijalo

    Sawa, lkn hizo ni hujuma ambazo hata wew unaweza kufanyiwa . Nae alikuwa imperfection kama sisi, so tusimhukumu Sana. Kikubwa sisi tuliopo Hai ndo tupambane kwa nini zijengwe chini ya kiwango na pesa wamekula?
Back
Top Bottom