Recent content by mganga wa roho

  1. mganga wa roho

    Ufugaji wa ngamia

    cheki na hao jamaa wanaweza kupa bri
  2. mganga wa roho

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    itategemea na eneo na banda/ sehemu unayotaka kuonesha mpira ila kama utatumia tv ukiwa na tv kubwa utavutia watazamaji.banda la mpira ukipata eneo lenye mashabiki brother banda linatoa
  3. mganga wa roho

    Siku ya kwanza baada ya kufungua kibanda umiza

    mkuu ongeza kingamuzi cha canal+ ambacho kwa mwezi unalipa 40,000 na big match zote mpaka uefa champions league wanaonesha ,dstv wako expensive sana 89,000 ni ndefu sana mm ninalo banda langu ninelipa jina tandale pesa ipo asikwambie mtu raia watakuja cha msingi lugha nzuri unaweza kuta kwa...
  4. mganga wa roho

    Nataka kufungua duka la nguo za kiume

    asante kwa ushauri wako naufanyia kazi
  5. mganga wa roho

    Nataka kufungua duka la nguo za kiume

    Wakuu habari za muda, nina mtaji wangu wa 3m nataka kufungua biashara ya duka la nguo za kiume, yoyote mwenye uzoefu na biashara hii tafadhali naomba msaada na changamoto zipi nitapitia. Nawasilisha.
  6. mganga wa roho

    Karibu Gardaworld Security kwa huduma za ulinzi

    Mlinzi mmoja mwenye silaha kulinda wkt wa Usk ni sh ngp? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mganga wa roho

    Kusafirisha asali nje ya nchi

    Uwe unaweka number ya simu na useme ni Asali ya wapi! Na ww uko wapi? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom