itategemea na eneo na banda/ sehemu unayotaka kuonesha mpira ila kama utatumia tv ukiwa na tv kubwa utavutia watazamaji.banda la mpira ukipata eneo lenye mashabiki brother banda linatoa
mkuu ongeza kingamuzi cha canal+ ambacho kwa mwezi unalipa 40,000 na big match zote mpaka uefa champions league wanaonesha ,dstv wako expensive sana 89,000 ni ndefu sana mm ninalo banda langu ninelipa jina tandale pesa ipo asikwambie mtu raia watakuja cha msingi lugha nzuri unaweza kuta kwa...
Wakuu habari za muda, nina mtaji wangu wa 3m nataka kufungua biashara ya duka la nguo za kiume, yoyote mwenye uzoefu na biashara hii tafadhali naomba msaada na changamoto zipi nitapitia.
Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.