Nimefurahi sana kuona mandhari ya awali ya Mji wa Mwanza ulioanzishwa na Wajerumani mwaka 1890.
Mji huu ulianza kukua kwa kasi baada ya kuunganishwa mwaka 1928 kwa Reli ya Kati, junction ya Tabora - Mwanza. Aisha, kilimo cha pamba kilichoshamiri Kanda ya Ziwa baada ya WW II (1940s) kiliukuza...
Ni za kijiweni coz naelewa nguvu ya shirika letu changa kulinganisha na Fly Emirates. Ulivyo mtupu hujui Tanzania tuna ndege ngapi kubwa za kuruka masafa marefu kulinganisha na Emirates. Emirates kwa Afrika tu inaruka kwenye zaidi ya miji 30 sasa hao kuwa na direct flight za mbali ni kitu cha...
Wewe mshamba kabisa nani kakwambia ndege zinazotokea Mwanza kwenda Ulaya zinaanzia hapo na si Dar es Salaam. Mnahoji kila kitu kinachofanywa na Serikali ili muonekane mna uelewa kumbe ni empty.
Unaweza kuniambia ni Mashirika mangapi ambayo yana ndege zinaruka miji miwili tu kama unavyotaka...
Ndugu nimeona wewe hujui mashirika ya ndege yanavyojitahidi kupunguza gharama za uendeshaji. Sasa hivi mashirika mengi yana ushirikiano unaosaidia abiria kuunganisha flights kupitia mashirika rafiki (alliances).
Mfano kwa kuwa ndege ipo ya kutoka Harare kupitia Lusaka had Dar, hao hao wanakata...
Wewe unaniuliza hata vitu vyenyewe huna uhakika navyo. Nalifahamu vyema eneo la Ruhr kuliko unavyoweza kufikiria ndugu yangu. Kujua tu kuwa hiyo ni miji yenye viwanja vikubwa ilifaa ikuonyeshe jinsi ninavyolifahamu eneo hilo. Sikutaja viwanja vya Essen Aachen wala Munster so nenda taratibu mzee...
Mzee yote hayo ya nini sasa? Hivi ukisema mnada wa madini kujengwa Mirerani badala ya Arusha mbona hauongelei Soko jipya la dhahabu lililozinduliwa hivi karibuni na PM huko Geita? Mbona halikujengwa jijini Mwanza lakini hausemi? Kwa hiyo hapo utasema Rais anataka kuiua Arusha na siyo Mwanza pia...
Gud observation but still naona umeshindwa kuona potentiality ya eneo la upande wa Magharibi ya Tanzania kuanzia Mbeya, Sumbawanga, Mpanda, Tabora, Singida, Kigoma, Shy, Kahama, Bukoba, Bariadi na Musoma.
So, Ndege za ATCL za kutoka Mbeya zinaweza kupitia Iringa, Dodoma hadi Mwanza na nyingine...
Ukitaka kukosoa chochote kile huwezi kushindwa mpaka muumba watu wana-question though muda mwingine ni out of curiosity.
Hata hivyo usiseme kwa kuwa kuna kiwanja Mwanza hauwezi ukawa na kiwanja Geita achilia mbali Chato kwani eneo hili la Kusini Magharibi ya Ziwa Victoria lina biashara kubwa ya...
Watu walishafanya research long mzee. Kanda ya Ziwa ina abiria wengi wanaokwenda Ulaya ndio maana hulazimika kwenda kwanza Dar na hivyo kujikuta wamezunguka.
So kwa sasa hakuna kuzunguka. Na kulingana na taarifa za kiuchunguzi route ya Dar - Mwanza ndiyo ambayo huwa profitable katika route zote...
Jiji la Mwanza limeteuliwa na ATCL kuwa Kituo cha mwisho cha safari za ndege kutoka Tanzania kwenda Ulaya.
Sababu ya kuteuliwa kwa Mwanza haijatolewa lakini uchunguzi wangu unaonyesha kuwa Jiji la Mwanza ndilo the northernmost kwa majiji yote nchini hivyo ni rahisi kwa ndege zinazokwenda nje...
President Magufuli is immensely faulting all who once considered him a weak politician.
Probably he is among the best strategist statesman ever.
Viva Magufuli and your Magufulication.
If you can't defeat them then join them, simple tu yaani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.