Recent content by mgalilaya

  1. M

    Jinsi ya kujiponya maumivu kwa nguvu ya ubongo (Subconscious Mind) By Rakims

    Yes. Healing Meditation,also help for the ones who are in studying,if you find your understanding is very down better practice you will see the changes.
  2. M

    Ni njia gani nifuate nimpate Jini?

    Kama umedhamilia kweli utampata tu,tatizo ni dhumuni lake na lako laweza pishana, nakupa njia. amka kila siku saa nane nusu usiku,washa udi ambao unapendwa zaidi na majini(kwailo nenda kawaulize wauza udi aina gani ya udi),kua peke yako sehemu au ndani ya chumba,fanya meditetation kwa kufocus...
  3. M

    Umeshawahi kujiuliza wewe ni nani?

    Iam a Spiritual bro,covered by a body sorrounded by contextual..! daily living for preparing destiny that is my better place.!
  4. M

    Umeshawahi kujiuliza wewe ni nani?

    Iam a Spiritual bro,covered by a body sorrounded by contextual..! daily living for preparing destiny that is my better place.!
  5. M

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Si uende ikulu ukaulize,acha ushabiki!!! Kikatiba rais harusiwi kukaguliwa(auditing) ina maana kiundani,ila ukitaka kujua A au B utajuzwa,so better go yourself bro!
  6. M

    Apigwa risasi akijaribu kutoa mpira ulioingia kwenye uzio

    Ukisikia Jambo Fanya ata simple analysis ujilizishe afu ndio uje hewani bro,yaani unakopy na kupesti ata ka environment evidence huna.
  7. M

    Picha: Jamaa arukishwa kichura baada ya kugusa ukuta Ikulu

    Yahhhh man, ikulu ni mahali patatifu,nje na sio ndani, we ukijikanyaga pande izo bora uwe mpole tu,maaaana duhh,hakuna sheria itakayo tambua haki yako mkuu,ni kubali yaishe principle ndio itakayo kuokoa.
  8. M

    Mnapiga Kelele eti dola imepanda, Mna akili timamu kweli?

    ukiona wanalalamika lalamika ivo ujue wanaset kamchongo kakutupiga,sasa ivi utasikia tuunde tume ya kulichunguza hili,pia nao ni wanafiki,wenyewe wanaripwa mishahara in usd currency kwa ajira ya apa apa ndani. HATUTAKI KUSIKIA TUME APA,uwiziii mtupUUUUUU..
  9. M

    Magaidi wavamia kijiji cha Msolwa Ujamaa, Kilombero

    Dah Ni shidah Kweli Kweli..!lakini mazingira yanaonekana ni kama walikua wanajiami mana kama mlipata adi nafasi ya kuwahoji na kuwasearch ndio yametokea ayo,nafikiria hapakua na profesional intelligensia,io nayo itaja leta vurugu zngne uko mbelen,let watch out,mengine zaidi ni poleni sana na...
  10. M

    Gwajima atakumbukwa kama shujaa wa kupinga mahakama ya kadhi

    Kupinga mahakama ya kadhi ni jambo la kuungwa mkono,mimi pia namuunga mkono katika ilo hasa kwa nchi kama yetu inayoendeshwa na circular laws, Ninapingana nae namna ya uwasilishaji wake wa jambo zaidi dhidi ya io juzi kumdhihaki na kumkashifu askofu pengo,unaweza ukawa uko sawa lakini ukawa...
  11. M

    Gwajima amgomea DC Makonda

    Kmfano Hajaenda atamfanya nini,atamwamisha wilaya?
  12. M

    Tamko la Maaskofu na Wachungaji wa Kipentekoste juu ya kuugua ghafla kwa Askofu Gwajima

    Caution! Pia Tumie jina Kulingana na sifa ya mtu,man hawezi kuitwa askofu,hakuna askofu mwenye element za matusi labda kama ni askofu wa kimerelani simanjiro..,other way out un acceptable.
  13. M

    Mke wa Gwajima aibua hofu afya ya mumewe

    Tatizo la ya haya madhehebu ya wasaka tonge,wana raise tension iliyapate umaarufu,kwastyle iyo hakuna tofauti na mbongoflaver akisaka kick,tena mbongo flaver yu bora mana platform lake linaruhusu matusi ila sio huyu bro..loo waumini rudini mlikotoka mana mnakopelekwa sio kwenyewe!
Back
Top Bottom