Habari zenu wakuu.
Nimesomea mambo ya meli tangu mwaka 2011,nimehangaika sana kutafuta japo seatime ila sikufanikiwa kupata.
Naombeni msaada hata wa kunipa website ambazo naweza kuzitumia ku apply kazi ya ubaharia.
naomba msaada wa ku install Ram ktk pc yangu...kuna slots 2 lakin nikiweka Ram pande zote pc haiwaki,ila nikitoa moja inafanya kaz!...tatizo ni nin hapo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.