<br>
<br><br>Wakuu japo kuwa ni senseless kutoa hoja isiyo na ushahidi, nathubutu kukubali hoja hii kwakuwa tunajua huyu mzee alikuwa nani na kamwe huwa hawaachi kazi zao za ushushushu mpaka kifo. kwa mjibu wa maadilili ya kazi yao hawatakiwi kuisaliti serikali.Nina hofu na huyu mzee wetu kwani...
Mwigulu usitafute huruma kwa wananchi, unyama wenu tunaujua. je mkakati wako wa kubambikia kesi viongozi wa chadema uliishia wapi baada ya kubwgwa mahakamani?
Wakuu huyu jamaa karudi shule kamalizie gumbalu naona alitoroka mapema kabla hajajua hata kuandika jina lake hajui mahakama inapokuwa inaendesha mashitaka boss wake ni nani? unajidisqualify wewe mwenyewe
wewe na warafi wenziyo hamzidiani pua wala masikio. kwanini uchukue laki 2 inayonuka uvundo na damu ya watanzania na kujifanya hawatokununua unataka ununuliweje ndo uamini -----------? Acha unafiki we ni mtuhumiwa namba moja na wenziyo wanafuatia na ushahidi wa kukufunga umetoa we mwenyewe...
huyo mtu ni nani yako? je mnafananisha kabila?je kimepimwa? Nenda mahakama ya mwanzo wilaya unayoishi watakupa maelekezo ya kufanya. inaweza kuanzia kusikilizwa hapo au utaelekezwa kwenda BARAZA LA ARDHI LA WILAYA msipoelewana utaomba kukata rufaa mahakama kuu. Nijibu hayo maswali kabla ya...
USHAURI,
Hilo ni kosa la jinai kesi kama hizo huanzia polisi ili upate mpelelezi wa jarada lako. Ushahidi wa kimazingingira unaonesha wazi kuwa yeye alichukua na kama si yeye basi anamfahamu mtu aliyechukua na hivyo amesaidia kuiba.
Utakapofungua malalamiko polisi huyo mtu atakamatwa kama...
MHESHIMIWA;
Nataka nikushauri kama ifuatavyo
Mahakama haiwezi kusikiliza mkataba unaokiuka sheria kuanzia uundaji wake, na swali la kwanza katika mahakama ni kutaka kujua kama kuna mkataba halali machoni pa sheria kwa kuangalia sheria za kanuni za mikataba inasemaje
1. mkataba huu ni miongoni...
If a husband can rape his wife under the ground of sex to be played with no wife's consent wether she is suffering, she feels not sex what about a mare defense of a girl had born whilst under 18 years old? A general rule pre assumes under 18 to have no conset unless you raise a defend of being...
Nadhani oparesheni ya kichwa jamaa kafanyiwa ,ilimrusha akili kwa timamu zake anawaona watua wa magamba wanania ya kutafta mhafaka hasa ukizingatia mswaada ulivyopitishwa kibabe bungeni au kwakuwa alikuwa mtoro?Sishangai kwani kasaliti wenzake bungeni walipotoka nje kudai katiba.Hata ualimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.