Recent content by Mfikilwa

  1. M

    Umuhimu wa mtu kama Bocco Simba unaonekana

    Tatizo la Simba siyo wachezaji, kocha ndiye tatizo 100%
  2. M

    Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

    hakuna sehemu niliposema asiende onana na doctor, ata mwenyewe amesema anakwenda huko kote, nimemshauri tu kama katika kuangaika kwake ata huko anaweza pita pia kama ataweza.
  3. M

    Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

    Pole sana kwa mitihani unayopitia. kujaribu tu, kuna maalim yupo Mkulanga kwa mwarabu (kituo kwa Mwarabu) wanamwita Malamba. Kabla kwenda na mtoto nenda mwenyewe Kwanza ukajue siku hizi utaratibu wake ukoje. huduma zake ni bure kabisa labda siku hizi iwe tofauti
  4. M

    Natafuta Turbo na fuel Pump ya Nissan Patrol Y61, engine zd30

    Asante mkuu, nimeliweka hapa kwa tumaini la kuweza pata kwa bei nafuu kidogo, penye wengi mambo yanakuwa poa
  5. M

    Natafuta Turbo na fuel Pump ya Nissan Patrol Y61, engine zd30

    Habari ya leo wakuu, Natafuta Turbo pamoja na fuel pump ya Nissan Patrol Y61, ZD30 engine tafadhali nicheki whatsapp kama unayo, Asante. +255675308774
  6. M

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kimbiji, Kigamboni

    Beach kabisa ama karibia na Beach?
  7. M

    Ugonjwa wa kifafa usikilizeni redioni. Simulizi yake ni ya kutishaa!

    Dah pole sana, inasikitisha sana. katika tembea yangu katika pilika za kutafuta maisha nimewai fanya kazi na mjerumani mmoja mgonjwa wa kifafa, nilichoona jamaa alikuwa anavuta bangi, na alivyosema yeye inamsaidia sana, akivuta anakuwa sawa na anafanya kazi. Kwa wenye ndugu wenye kifafa labda...
  8. M

    Plot4Sale Shamba linauzwa Kisarawe

    Lina mazao yoyote ama msitu tu?
  9. M

    Tunauza Viwanja na Mashamba Chalinze na Dar Es salaam

    Kula mil 2, nikupe moja, mwezi ujao nakupa 1
  10. M

    Plot4Sale Shamba heka 5 linauzwa Vigwaza

    Mkuu mwaga namba ya mtu wa kuwasiliana nae huko please
  11. M

    FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

    Kocha siyo mzuri yes, lakini usajili mzuri sana, mpira una matokeo ya kufungwa, kushinda ama Kudrow, bahati mbaya Yanguwanatubahatisha sana siku hizi, lakini ndiyo mpira, kocha mpya simkubali, lakini mechi ya leo Matola ndiyo amezingua nawaambia. so far timu ni nzuri sana, Chama mpira anaocheza...
  12. M

    Ufuatao ni 'Mjumuisho' wangu wa 'Kiuchambuzi' baada ya kuiona Simba SC jana katika 'Simba Day' yao

    Simba tumesajili vizuri sana, lakini kocha hakuna pale, nilichoona kila mchezaji alikuwa anacheza tokana na huwezo wake na siyo mafunzo ya kocha.
  13. M

    Mugalu ni bora kuliko Mayele 50!

    Mugalu ni Lewandowski mweusi
  14. M

    Plot4Sale Nauza viwanja vyangu viwili Goba

    vyote kwa pamoja mil 13 ama kila kimoja kinacost mil 13
  15. M

    Leo Simba tunacheza 4-1-4-1 Kumkabili Ruvu Shooting kwenye AFC

    Simba tupende kumchezesha Mugalu mara kwa mara ili again confidence, kiukweli mimi sijaona mshambuliaji ambaye anamuweka Mugalu bench kwa timu yetu ya simba, ndiyo hafungi kwa sasa lakini Mugalu ana faida sana mbele ukiwa na watu kama Banda na Sakho, haina ya ushambuliaji alionao Kagere umepitwa...
Back
Top Bottom