hakuna sehemu niliposema asiende onana na doctor, ata mwenyewe amesema anakwenda huko kote, nimemshauri tu kama katika kuangaika kwake ata huko anaweza pita pia kama ataweza.
Pole sana kwa mitihani unayopitia. kujaribu tu, kuna maalim yupo Mkulanga kwa mwarabu (kituo kwa Mwarabu) wanamwita Malamba. Kabla kwenda na mtoto nenda mwenyewe Kwanza ukajue siku hizi utaratibu wake ukoje. huduma zake ni bure kabisa labda siku hizi iwe tofauti
Dah pole sana, inasikitisha sana.
katika tembea yangu katika pilika za kutafuta maisha nimewai fanya kazi na mjerumani mmoja mgonjwa wa kifafa, nilichoona jamaa alikuwa anavuta bangi, na alivyosema yeye inamsaidia sana, akivuta anakuwa sawa na anafanya kazi.
Kwa wenye ndugu wenye kifafa labda...
Kocha siyo mzuri yes, lakini usajili mzuri sana, mpira una matokeo ya kufungwa, kushinda ama Kudrow, bahati mbaya Yanguwanatubahatisha sana siku hizi, lakini ndiyo mpira, kocha mpya simkubali, lakini mechi ya leo Matola ndiyo amezingua nawaambia. so far timu ni nzuri sana, Chama mpira anaocheza...
Simba tupende kumchezesha Mugalu mara kwa mara ili again confidence, kiukweli mimi sijaona mshambuliaji ambaye anamuweka Mugalu bench kwa timu yetu ya simba, ndiyo hafungi kwa sasa lakini Mugalu ana faida sana mbele ukiwa na watu kama Banda na Sakho, haina ya ushambuliaji alionao Kagere umepitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.