Recent content by mfianchi

  1. mfianchi

    Ni ukweli CCM inaweza kuwa imeingilia kanzi data ya NIDA!?

    Mkuu uajua kwanini huko nyuma mtoto wa mlamba asali alikuwa na nguvu sana, jibu ni kuwa yeye na swahiba wako mandondo ndio walishikilia code za mfumo wote, hii ikawa inampa kiburi mbele ya wamiliki wa shamba la mboga mboga, walichokifanya ndicho hicho unachokisema, kifupi wakaanza upya nje ya...
  2. mfianchi

    Namna CCM wanavyonufaika kwa kuunganisha mfumo wa NEC na mfumo wa NIDA kufanikisha wizi wa kura

    Mkuu hakuna kitu cha independent observer kuangalia mfumo, haya mambo ndio hata tume kule Kenya huyafanya, pamoja na mahakama kuiambia tume ifungue server hadi leo tume haijafanya hivyo. Kuna uhuni mwingi kwenye hizi chaguzi na si Africa tu hata Marekani pia nadhani umemsikia Trump akilalamika...
  3. mfianchi

    Ni aibu kwa CHADEMA kushindwa kukusanya Tsh Millioni 100 kwa zaidi ya Mwezi wakati CCM inakusanya Billion 86 kwa usiku mmoja

    Huna hoja ya kukujibu wewe, toka lini upumbavu ukawa hoja! unatudharirisha ndugu.
  4. mfianchi

    GE2025 Zitto: Wafanyabiashara zamani waliichangia CCM kisirisiri kwa hofu ya kashfa zao kuibuliwa Bungeni

    Kwa mara ya kwanza naunga hoja ya Mh Zitto, sikutegemea kuyaona haya katika siku zangu za mwishoni!
  5. mfianchi

    Maoni binafsi ya kesi ya uhaini ya Tundu Lissu inavyoendelea

    Pamoja na kutokuwa muumini wa Lissu leo nimeumia sana kwa haya yanayoendelea kuhusu Lissu, nimepata uchungu wa mzazi kwa mwana, sijui Lissu kawakosea nini kwa haya yanayoendelea, roho zitawasuta hadi makaburini.
  6. mfianchi

    GE2025 Cheyo aongoza mkutano mkuu wa UDP mgombea urais, mwenza kujulikana leo

    Acha upumbavu mkuu, wenzetu ili uwe raisi unatakiwe uwe na akili timamu na afya njema, sasa huyu Mzee hali aliyonayo hata kumukumbuka mwanawe hawezi unataka ndie agombee uraisi hata Biden aliambiwa aondoke kutokana na changamoto ya kiafya sembuse huyu Mzee.Cheyo, kwa hiyo hali kweli atazunguka...
  7. mfianchi

    GE2025 Cheyo aongoza mkutano mkuu wa UDP mgombea urais, mwenza kujulikana leo

    Mkuu huyu hana tofauti na brig Moses Ali wa Uganda ni vituko lakini najiuliza huyu mzee mapesa hana watoto au mke wa kumshauri kuwa sasa mzee huku ni kudhalilisha jina la Cheyo, hizi ni njaa gani jamani mbona watu wanaishi tu bila ya kuwa wanasiasa? hii ni aibu na fedheha kwake na wanafamilia...
  8. mfianchi

    Kumbukumbu: Mkapa alivyoshinikiza kukatwa kwa Lowassa ndani ya CCM na kutishia kuwafukuza wajumbe wa NEC

    Musukuma mnafiki sana, huyu alikuwa kundi la Lowasa na hata kwenye kampeni pale uwanja wa Sheikh Amri Abeid alishuka na helicopter pia akiwemo Juma Awesu, Kingunge Ngombale Mwiru, Nchimbi, Anna Tibaijuka.
  9. mfianchi

    GE2025 Balozi Polepole aapa kutorudi nyuma hadi mchakato wa Wagombea Urais CCM kuanza Upya. Amuonya anayezima Mtandao

    Mkuu nimeskitika wazee wazima wameufyata japo mzee Butiku nae amejifanya kuongea lakini kawa muoga anazunguka mbuyu, labda mzee anaogopa kuambiwa na wewe una mawaa kwenye Kigoda cha Mwalimu.
  10. mfianchi

    GE2025 Wajumbe wamtaka Ndugai ampumzike

    Na tayari aliaga kuwa ikifika 2025 hatagombea tena, wacha yampate kama yaliyompata Mzee wetu kule kwa Kibajaji hadi ikawa aibu kwake aliposhindwa na mhuni Kibajaji.
  11. mfianchi

    GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025

    Naona awamu hii mama na mwanae hawana washindani kwenye kaya zao ?
  12. mfianchi

    Masoud Kipanya, CZA na Fetty wa Clouds pamoja na CEO wa Jambo TV wadaiwa kuzuiwa kufanya shughuli zozote za kihabari

    Kwa mchora katuni hakuna uhalali eti wa kuwa mwandishi wa habari ndipo aweze kufanya kazi kwenye vyombo vya habari.
Back
Top Bottom