Recent content by mfianchi

  1. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Ni bora kukomaa hapahapa Tanzania mungu atajaalia, kila nikiwaangalia wanao rudi kutoka Afrika Kusini, nachoka kabisa

    Wamerudi na mapengo, mtaani ukiwa na mapengo wanasema huyu karudishwa toka Sauzi, sijui huko Sauzi walikuwa wanakunywa maji gani au ndio madhara ya kubwia sembe?
  2. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Bashungwa, Ukiwa Waziri mambo ya Ndani, Watanzania walishuhudia Mauaji ya Watanganyika Oktoba 29 2025. Kaa kwa kutulia, Achana na Nchimbi!!

    Kweli kabisa tumelalal mno si umesikia hata ya yule dada kunyakuliwa mapema kweupe na watu wakamute.
  3. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Bashungwa, Ukiwa Waziri mambo ya Ndani, Watanzania walishuhudia Mauaji ya Watanganyika Oktoba 29 2025. Kaa kwa kutulia, Achana na Nchimbi!!

    Na yule jirani yake naibu wa zamani atakuwa naye ni hao hao, kuna wakati mkuu wa majeshi aliwahi kusema kuna watu wana nyadhifa nzito serikalini lakini sio wa hapa, tokea alisema hakuna hata aliyefurushwa!
  4. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Bashungwa, Ukiwa Waziri mambo ya Ndani, Watanzania walishuhudia Mauaji ya Watanganyika Oktoba 29 2025. Kaa kwa kutulia, Achana na Nchimbi!!

    Alaa kumbe hawa watu wanataka wao tu pamoja na mimali waliojilimbikizia bado wamo tu si wanajifanya watu wajiajiri wenyewe nao wacha wakipate cha moto,sasa huyu akiteuliwa si atamtumikia aliyemteua badala ya wananchi.
  5. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Bashungwa, Ukiwa Waziri mambo ya Ndani, Watanzania walishuhudia Mauaji ya Watanganyika Oktoba 29 2025. Kaa kwa kutulia, Achana na Nchimbi!!

    ICC inamhusu sana, huyu hafai hata kuwa mbunge alitakiwa awe gerezani na ipo siku atafikiwa tu,uzuri wake bado kijana sana.
  6. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Bashungwa, Ukiwa Waziri mambo ya Ndani, Watanzania walishuhudia Mauaji ya Watanganyika Oktoba 29 2025. Kaa kwa kutulia, Achana na Nchimbi!!

    Ndio maana kaua wamalawi hana uchungu nao, huyu Mrundi na mwingine kwao Omani!
  7. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Nchimbi is not a cadaverous fish drifting pro forma with every current. He is piscis vivus

    Bashungwa kafurahi sana sababu nae ICC inamsubiri alikuwa anamuona kiranja msaidizi kuwa hatari zaidi, na anaamini labda ndio chanzo cha yeye kutokuwema kwenye uwaziri, sasa anajipendekeza aonekana apate teuzi yeye na Simbachawene wanasafiria kuanguka kwa Nchimbi. Hivi huyu Bashungwa ni...
  8. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wazanzibar hawatekwi na kupotezwa?

    Kumbuka pia hakuna aliyenyakuliwa na hakuna mwenye kesi ya jinai au ugaidi, kule ni kuimba ngonjera tu na akina Jussa.
  9. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Kube yule mwehu Ishengoma aliyejitokeza juzi ni project, yaani kuonekana tu majuzi akiongea kwenye mitandao leo hii uharo wake unatumiwa kumdodosa Mnyika, nimeshangaa kwa kuongea vile Ishengoma angekuwa kesha dakwa na nilijiuliza ujasiri ule wa Ishengoma wa kujitia kitanzi mwenyewe kaupata wapi...
  10. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu Imeweka Wazi Uwezo wa Mawakili wa Serikali Ulivyo. Ndio Sababu Kesi Zote za Mikataba Nje Tunashindwa kwa Aibu Sana

    Na wanauliza maswali kwa dharau huku wanacheka, wanajiona ni wajuzi wa sheria kumbe buure kabisa, sasa mtu ameng'ang'ania kuuliza tone tone na kamusi!
  11. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Askari Polisi Mwita Milumbe adaiwa kuteswa na kuuwawa, Ndugu waomba msaada

    Tanga kama Dar Es Salaam
  12. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo mwanasheria anayetegemewa na Serikali?

    Mwanasheria mkuu bado anamtafuta Mange, ila basi nilitaka nae aitwe kama shahidi adodoswe na TAL
  13. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Mnyika ni kiboko, ndiyo maana alikuwa Tanzania One! Soma alivyombabadua Katuga

    Huyu fala kajiunga juzi na kuanza upumbafu wake, au kabadili ID anatujazia server au tu mu ignore?
  14. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Mnyika ni kiboko, ndiyo maana alikuwa Tanzania One! Soma alivyombabadua Katuga

    Hivi yule wa Ukraine kapitia Shule ya Sheria pale Mawasiliano, kama amepitia sawa ila kama hajapitia kama Mnyika nae anakuwa ni layman tu (tafsri ya Mnyika)
Back
Top Bottom