Recent content by mfianchi

  1. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Msikilize/ mtazame Fatou Bensouda akizungumzia jinsi vikwazo alivyowekewa na Marekani vilivyoathiri maisha yake na familia yake

    Mkuu umeniwahi sector ya fedha duniani kote imeshikwa na Wamarekani, ni hao ndio wameweka hata viwango vya mtu kuchukua au kutembea na pesa kiasi gani, kila muamula unaofanywa na hizi bank zetu wao wanauona na hata ukitumiwa fedha ambazo hazina maelezo wana uwezo wa kuzisimamisha, na watu...
  2. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Kyela: Boniface Jackob avunja rekodi ya Dkt Slaa na Lowassa, Mkutano wake wasababisha wananchi kukanyagana ili kugombea nafasi, hakuna aliyekufa

    Nilipita uwanja ulifurika, wafanyabiashara nao walifunga maduka na baadhi ya huduma zilisimama ila kilichonisikitisha ni kwa walinda amani kujaa kila kona huku wakivalia mavazi yao ya vitani utadhani wale waliokuwa kwenye mkutano si wananchi, kila mara walikuwa wanaranda randa na magari, huku...
  3. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa NRM Agro Limited na wenzie 10; Mahakamani kwa makosa ya dawa za kulevya

    Akistaafu atakuja kuchekwa kuwa kiko wapi huyu alijifanya mzalendo muone hana kitu.
  4. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa NRM Agro Limited na wenzie 10; Mahakamani kwa makosa ya dawa za kulevya

    Akina Fred?
  5. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa NRM Agro Limited na wenzie 10; Mahakamani kwa makosa ya dawa za kulevya

    Kuna mmoja anasema alianza na TZA 20,000/= ana mabasi,ana machimbo ya mkaa,kawa mheshimiwa we acha wakati mimi nimeanza na duka la laki tano na bado napiga kwata hapo hapo siendi mbele, sana sana nikienda hatua moja mbele kabla ya kufika hatua ya pili najikuta nimerudi hatua tatu nyuma.
  6. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa NRM Agro Limited na wenzie 10; Mahakamani kwa makosa ya dawa za kulevya

    Unganisha . . . . . . .
  7. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa NRM Agro Limited na wenzie 10; Mahakamani kwa makosa ya dawa za kulevya

    Wanapenda watafuniwe tu, na si kwamba hawajui bali uchuro tu wa kumfukunyua aliyeleta uzi.
  8. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa NRM Agro Limited na wenzie 10; Mahakamani kwa makosa ya dawa za kulevya

    Naona alianza kuota mapembe au kuwatishia waliompa dili,wameona isiwe taabu. Mkutano Oman?
  9. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais ni kama Rais wa akiba aliyeko bench, Mbunge Simai hajavuka mto asitukane mamba

    Wenye visogo flat screen taabu na hatari sana, wana udini na ukanda, kilichonishangaza sikusikia akina Bueurope, May-emba walishindwa kuimba ule wimbowao maarufu wa taarifa,taarifa mheshiiwa mwenyekiti kama wanavyowaimbia akina Addo na Strada.
  10. mfianchi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ally Hapi: CHADEMA kila siku Katiba Mpya, Katiba Mpya inatuletea Ugali mezani? Wananchi wanataka hoja, siyo malalamiko

    Hapi kawa mjinga yeye au chama chake ndio wanatuletea ugali mezani? basi atugawie nyanya anazolima bure.
  11. mfianchi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Oktoba 29 vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu

    Kama hukusoma fasihi au ulipata D 2 huwezi kumuelewa Pascal sana sana utamuona haeleweki wakati anaeleweka vizuri, huyu anasema na kuandika kwa mafumbo, kejeli na kukupaka mafuta ya mgongo, atakwandika ukidhani unayeandikwa yuko nawe kumbe ana kunanga, kwa musio muelewa hapa anawananga wale...
  12. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Tujihoji: Kama kweli Nchimbi ni msaliti kama Yuda, angeweza kuachiwa madaraka ya kuitawala nchi kwa zaidi ya siku tatu?

    Mkuu unataka umfanye Paskal awe kama Simai? yaani ajilipua kwa kutoa ya mvunguni halafu kibao kikigeuka kama kitakavyomgeukia Simai nae kimugeukia, panya kumfunga paka kengele yataka ujasiri, waswahili husema ukimuona mtoto wa simba karibu jua na mama yake yupo, ndio maana kwenye mkutano...
  13. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Serikalini kuna Yuda, huko nyuma amewahi kutajwa ni mzigo, amewaumiza watu wengi

    Kauli za huyu mpemba zingekuwa zimetolewa na Strada, tungesikia taarifa taarifa nyingi na baadae angeambiwa na kiti amtaje huyo Yuda na ushahidi wa hayo anayoyasema halafu angepewa ban.
  14. mfianchi

    JamiiForums Tanzania IGP Mahita: Said Mwema alipewa u-IGP kwa figisu

    Mkuu si kweli kufanya kazi Interpol hakujufanyi ndio uwe na sifa ya kuwa IGP hao aliowapendekeza Mzee Ngunguri walikuwa ni wakubwa kikazi kwa Said Mwema, hao walikuwa CP na Mwema alikuwa chini yao, kama Ngunguri alikuwa IGP basi hizo sifa za Mwema kuwa Interpol sio kigezo, hapo ulitumika...
  15. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Ushauri: CHAUMMA achaneni na matumizi ya domain ya "Gmail" tengenezeni website kwenda na wakati

    Kumbe wewe kilaza, hujui tofauti! nilikuwa nashangaa unavyoshupaza shingo humu, nikawa najiuliza huyu kweli anajua anachokifanya na ana akili kweli, leo nimepata jibu.
Back
Top Bottom