Mkuu umeniwahi sector ya fedha duniani kote imeshikwa na Wamarekani, ni hao ndio wameweka hata viwango vya mtu kuchukua au kutembea na pesa kiasi gani, kila muamula unaofanywa na hizi bank zetu wao wanauona na hata ukitumiwa fedha ambazo hazina maelezo wana uwezo wa kuzisimamisha, na watu...
Nilipita uwanja ulifurika, wafanyabiashara nao walifunga maduka na baadhi ya huduma zilisimama ila kilichonisikitisha ni kwa walinda amani kujaa kila kona huku wakivalia mavazi yao ya vitani utadhani wale waliokuwa kwenye mkutano si wananchi, kila mara walikuwa wanaranda randa na magari, huku...
Kuna mmoja anasema alianza na TZA 20,000/= ana mabasi,ana machimbo ya mkaa,kawa mheshimiwa we acha wakati mimi nimeanza na duka la laki tano na bado napiga kwata hapo hapo siendi mbele, sana sana nikienda hatua moja mbele kabla ya kufika hatua ya pili najikuta nimerudi hatua tatu nyuma.
Wenye visogo flat screen taabu na hatari sana, wana udini na ukanda, kilichonishangaza sikusikia akina Bueurope, May-emba walishindwa kuimba ule wimbowao maarufu wa taarifa,taarifa mheshiiwa mwenyekiti kama wanavyowaimbia akina Addo na Strada.
Kama hukusoma fasihi au ulipata D 2 huwezi kumuelewa Pascal sana sana utamuona haeleweki wakati anaeleweka vizuri, huyu anasema na kuandika kwa mafumbo, kejeli na kukupaka mafuta ya mgongo, atakwandika ukidhani unayeandikwa yuko nawe kumbe ana kunanga, kwa musio muelewa hapa anawananga wale...
Mkuu unataka umfanye Paskal awe kama Simai? yaani ajilipua kwa kutoa ya mvunguni halafu kibao kikigeuka kama kitakavyomgeukia Simai nae kimugeukia, panya kumfunga paka kengele yataka ujasiri, waswahili husema ukimuona mtoto wa simba karibu jua na mama yake yupo, ndio maana kwenye mkutano...
Kauli za huyu mpemba zingekuwa zimetolewa na Strada, tungesikia taarifa taarifa nyingi na baadae angeambiwa na kiti amtaje huyo Yuda na ushahidi wa hayo anayoyasema halafu angepewa ban.
Mkuu si kweli kufanya kazi Interpol hakujufanyi ndio uwe na sifa ya kuwa IGP hao aliowapendekeza Mzee Ngunguri walikuwa ni wakubwa kikazi kwa Said Mwema, hao walikuwa CP na Mwema alikuwa chini yao, kama Ngunguri alikuwa IGP basi hizo sifa za Mwema kuwa Interpol sio kigezo, hapo ulitumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.