Wamerudi na mapengo, mtaani ukiwa na mapengo wanasema huyu karudishwa toka Sauzi, sijui huko Sauzi walikuwa wanakunywa maji gani au ndio madhara ya kubwia sembe?
Na yule jirani yake naibu wa zamani atakuwa naye ni hao hao, kuna wakati mkuu wa majeshi aliwahi kusema kuna watu wana nyadhifa nzito serikalini lakini sio wa hapa, tokea alisema hakuna hata aliyefurushwa!
Alaa kumbe hawa watu wanataka wao tu pamoja na mimali waliojilimbikizia bado wamo tu si wanajifanya watu wajiajiri wenyewe nao wacha wakipate cha moto,sasa huyu akiteuliwa si atamtumikia aliyemteua badala ya wananchi.
Bashungwa kafurahi sana sababu nae ICC inamsubiri alikuwa anamuona kiranja msaidizi kuwa hatari zaidi, na anaamini labda ndio chanzo cha yeye kutokuwema kwenye uwaziri, sasa anajipendekeza aonekana apate teuzi yeye na Simbachawene wanasafiria kuanguka kwa Nchimbi. Hivi huyu Bashungwa ni...
Kube yule mwehu Ishengoma aliyejitokeza juzi ni project, yaani kuonekana tu majuzi akiongea kwenye mitandao leo hii uharo wake unatumiwa kumdodosa Mnyika, nimeshangaa kwa kuongea vile Ishengoma angekuwa kesha dakwa na nilijiuliza ujasiri ule wa Ishengoma wa kujitia kitanzi mwenyewe kaupata wapi...
Hivi yule wa Ukraine kapitia Shule ya Sheria pale Mawasiliano, kama amepitia sawa ila kama hajapitia kama Mnyika nae anakuwa ni layman tu (tafsri ya Mnyika)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.