Nikusaidie ungeuliza ni wizara zipi za muungano badala ya wizara zipi si za muungano, kwa sasa hakuna wizara ambayo sio ya muungano ndio maana katibu tawala wa wilaya huku bara utakuta ni wa visiwani, DC ni wa visiwani, mamlaka mbalimbali ni mchanganyiko, kila eneo kuna mchanganyiko ndio maana...