Recent content by mfianchi

  1. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Taja mawakili nguli wa serikali wenye uwezo wakupambana kwenye mahakama za kimataifa kwaniamba ya nchi na wakatoboa

    Hah hah kuna yule alisema lazima dada wa taifa atapewa kesi kwa namna yoyote ile, sasa mwaka unakaribia na hatujasikia ngojera yake, huyu ni mtu ambaye hata hajawahi hata kuendesha kesi ya wizi wa kuku, na hata mahakama hajui zilipo achilia mbali hata kusoma pale kwenye shule yao ya mazoezi...
  2. mfianchi

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wapuuzeni Chaumma msijibu hoja zao. Ninyi komaeni na operation tonetone na Maandamano ya kumtoa Lissu jela

    Ni kweli mkuu ni sawa na kumjibu kichaa anayetukana sokoni, hatuna muda na akina ubwabwa aka Kigaila na hao Chauma wataendeshwa sana mwenye mbwa.
  3. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amefanya mazungumzo na Viongozi wa Vyama vya Siasa Ikulu Dar es Salaam

    Namuona OMO na Jussa hawa jamaa wao kwa wao na mtu wao wakivuka bahari wanateteana sana,tofauti na sisi Mitanganyika, ukitaka kujua siku hizi hata wale ambao walikuwa huwaoni kwenye mikutano siku hizi utawaona hasa baba yake aliyekuwa shangazi wa taifa, ambaye siku hizi kaufyata kisa analamba...
  4. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Ya Rigathi Gachagua kumkuta mtu fulani Tanzania

    Lakini i umeona Rigathi anavyomnyima usingizi Ruto na si ajabu akamfanya wantam!
  5. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Heche: Mnaotumwa kuteka watu, mwisho wa siku watawaueni nyie kupoteza ushahidi

    Kweli kabisa waulize kule Kenya wale wahusika wa enzi ya Uhuru na Ruto walianza kupotea mmoja mmoja ili kudhoofisha ushahidi.
  6. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Asante Prof Emeritus Shivji kwa kupaza sauti ya Uhuru wa Dr. Kaijage

    Nawakumbuka tu akina Chachage, Haroub Othman na sasa kabaki Shivji peke yake na siamini yule Prof wa kuokotwa jalalani na Prof Kiti wa Ualimu walivyobadilika baada ya kuanza kuchovya asali.
  7. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Mwinyi Hussein Rais wa JMT 2030-2040

    Hakuna hiyo hatuwezi kuongozwa na wazanzibari kila kukichwa hiini zamu ya mtu kutoka Tanganyika tena Mkristu, jeuri ya akina Mwaipopo ipo ukingoni.
  8. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Polisi waruhusu Mikutano ya hadhara.. Je, wamemgeuka Katambi?

    Ilitakiwa yeye mwenyewe Katambi amuagize IGP hadharani kuwa sasa mikutano inaruhusiwa kama alivyofanya wakati wa kuifungia halafu akitoka hapo aende akawahutubie wazee wake kule kwao Shinyanga kuwa sasa hali ni shwari .
  9. mfianchi

    JamiiForums Tanzania DCP Misime: Hali ya Usalama nchini ni Shwari, wenye nia ya kufanya mikutano wawasilishe taarifa kwa wakuu wa polisi wa wilaya

    Kwani Katambi anasemaje, si ndie anatakiwa kutoa tamko, yaani akataze Katambi na aruhusu mwingine hapo maana yake nini?
  10. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Mwanri kumuacha Mungu na kujiunga na Shetani jiandae kudhalilika

    Hawa vikongwe wana tamaa sana, huyu mzee si alishastaafu? kwanini hawapendi kupumzika na kufurahia hela yao, sielewi wana tatizo gani hawa watu, sijui wanadhani bila wao nchi haiendi, mbogamboga wanazidi kurudika vibabu sasa watu kama kweli watakuwa na uthubutu wa kusema hapa hapana sio au ndio...
  11. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Rai kwa Rais Samia: Toa Kijiti cha Katiba Mpya Sasa

    Pia tunataka katiba mpya yenye kipengere cha wagombea huru kwenye ngazi zote za chaguzi, ikiwa hivyo basi yule babu wa Bunda itabidi akasimulie hadithi za ukuti ukuti kwa vitukuu wake.
  12. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nshala: Tutachukua hatua za kisheria kupinga mbinu za kugeuza shughuli za kisiasa kuwa makosa ya jinai na ugaidi

    TLS bado wamelala usingizi wa pono na mnyakyusa wao wa mchongo.
  13. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Dkt.Ayob Rioba: Tulipigiwa simu tuondoke TBC kwamba kuna watu wanakuja kutuvamia Oktoba 29

    Alivyo mnafiki anazungumzia kuunguzwa vituo vya mafuta tu na si kuuwawa kwa watu.
  14. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Wizara zipi si za kimuungano?

    Nikusaidie ungeuliza ni wizara zipi za muungano badala ya wizara zipi si za muungano, kwa sasa hakuna wizara ambayo sio ya muungano ndio maana katibu tawala wa wilaya huku bara utakuta ni wa visiwani, DC ni wa visiwani, mamlaka mbalimbali ni mchanganyiko, kila eneo kuna mchanganyiko ndio maana...
  15. mfianchi

    JamiiForums Tanzania Andrew Nyerere ni mgonjwa wa afya ya akili, asaidiwe kwa maombi

    Umeniwahi nilitaka niulize hilo swali, kwa taarifa hakuna mtoto wa Mwl ambaye ni mjinga, wote wana elimu nzuri pamoja na changamoto za maradhi haizuii kuwa wa kweli hata mgonjwa wa akili nae ana thamani si wa kumbeza, tupime anayo yaongea.
Back
Top Bottom