Usijaribu tena hiyo itakupelekea uvunje ndoa yako Usipende kumshuku mume wako wewe ndio mwenye thamani ndio maana kakuweka ndani ya nyumba achana na hao wa nje itakupotezea muda Muheshimu,mpende na tekeleza wajibu wako kama mke ukifanya hivyo utaishi miaka mingi na ndoa itadumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.