Tukiachana na Na huyo unaemtuhumu, kibaigwa jinsi ilivyo almost 75% ya pesa zinazozunguka pale ni za moto[emoji91] na 25% zilizobaki ndiyo pesa halali yaani matajiri wa pale aaagh! aisee sijui hata nisemeje ila huo ndio ukweli
Kibaigwa ni nyumbani hivyo ule mji naufahamu vizuri. ukiwa unaelekea Morogoro basi mji huu upo karibu na mpaka kati ya Dom na morogoro yaani unatoka kibaigwa unaingia pandambili halafu gairo[morogoro]
Sasa kwa ishu ya Gari la kutoka kahama kuja Dar kawaida huwa yanapita kibaigwa jioni kuanzia...
HDD 2 nilizobaki nazo moja ndio jamaa alinionyesha kwny program yake kwamba haina tena uwezo wa kubena windo hvyo labada niitumie kama external tu, na hii ya juzi TB 1 nayo pia niliinunulia external case baada ya window kucorrupt.
Hakuna maneno mengine zaidi ya kustuck kwny jina TOSHIBA.
Pia...
Wakuu habarini za muda. Pc yangu ina shida naombeni msaada.
Ni brand ya Toshiba satellite nilipewa na sstr tangu 2015 ambapo kabla ya hapo alikuwa anaitumia akiwa masomoni. Ilianza kuleta changamoto ya kuua hdd tangu 2018, mpaka sasa nimeshabadili HDD kama 5 hivi.
Yaani naweza kuwa nafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.