Kwanza sipendi huo msamiati "Sugar Mummy", huku ni kuwavunjia heshima wanawake watu wazima hasa wenye wapenzi wenye umri mdogo, jambo ambalo sio kosa. Pia neno "Marioo" watu mnakosea kulitumia...Marioo ni mpenzi wa kiume asiye na mchango wowote kiuchumi kwenye penzi lake na mwanamke bila kujali...
Urafiki upo. Kwani kazini kwako hakuna wanawake? je, ni maadui zako? Kwahiyo usidhani wanaume wote tunawatazama waschana/wadada/wamama kwa jicho la tamaa...wewe ndio wale wanaume ambao binti akikuomba lift tayari unamtongoza au akikuomba msaada wa pesa unadhani anakutega, acha ubaguzi...endeleza...
Kwanini mada nyingi ni za kushambulia dada zetu? Kwanini isifike mahala tukatambua mchango wao kwenye maisha yetu ya kila siku? Hivi mwanaume rijali unaanzaje kumsema mwanamke kuhusu wanja au makeup yake??
Acheni kupotosha wanaume, mwisho wa siku mtawanywesha sumu mkidai ni juice. Kutunza ni utashi wa mtu na mazingira anayoishi...ila katika swala la mapenzi, ni kweli mwanaume lazima awe sio tu nguvu za kiume, bali pia elimu ya kumridhisha mwanamke, tatizo wanaume au vijana wengi mapenzi ni tendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.