Kitendo cha bunge la JMT kumkandia na kumtoa mbunge mpina, ni dhahiri shahiri tuna bunge la hovyo kabisa, imagine unamtoa mpina mle bungeni unabaki na nini sasa cha maaana kama suo gwajiboy peke yake
Nilichojifunza kwenye hii Dunia ni kwamba vitu vyote vya kurithi havina maumivu au machungu katika maisha ya mtumiaji, aliyevirithi atatumia hovyo hovyo tu hata kama atarithishwa nchi/ Dunia bado ataitumia vibaya tu kwa sababu hana machungu nayo.
Tujitahidi kurithisha watu maarifa badala ya...
Ukiwa na akili ndogo unaweza kufikiri kula hadharani ni issue ya kawaida sana kumbe kuna watu wanasubiri kupelekwa mahakamani kwa kosa la kula hadharani daah
Nimelazimika kulisema hili baada ya kuona wananchi wengi wakiteseka kutokana mvua zinazoendelea kunyesha
Barabara mbovu kila kona wananchi wanahamasishana kila iitwayo leo kutengeneza barabara za mitaa zilizoharibika vibaya huku mbunge wao hataki hata kuwapokelea hata simu, hali ya barabara za...
Ccmchipukizi maana yake nii?
Wana faida gani kwa chama?
Kwanini wawe watoto wengi wa viongozi na watu mashuhuri ndani na nje ya chama na sio mtoto wa mkulima na mfugaji?
Je, mtoto wa mkulima na mfugaji huko Nanjilinji, kantalamba, ng'alita, kishumundu, Gamboshi, nshamba na huko kwingineko...
Kitendo cha viongozi wa mapinduzi nchini Niger kuungwa mkono na wananchi ni ishara tosha kuwa viongozi wa kiafrika wanatakiwa kujitathmini kama nafasi zao zinawatumikia wananchi au laa.
Na muhimu kuliko yote viongozi hawa wasipuuze sauti za wananchi kama waajiri wao lakini kwa mwenendo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.