Recent content by mfalmeselemani

  1. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania Bunge labaini madudu vitambulisho vya taifa

    Wewe mwaka wa ngapi boss[emoji1787]
  2. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania Bunge labaini madudu vitambulisho vya taifa

  3. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania Kuna nini NIDA hadi vitambulisho havitoki tena?

    Yote yanawezekana mkuu
  4. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania Simbachawene: Namshauri Mkurugenzi Mkuu wa NIDA ajiuzulu

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  5. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania Simbachawene: Namshauri Mkurugenzi Mkuu wa NIDA ajiuzulu

    Source: Wizara ya Mambo ya Ndani na TBC Waziri wa Mambo ya ndani Mheshimiwa Simbachawene amemshauri Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA kujiuzulu kwa kushindwa kuzalisha vitambulisho vya Taifa kwa wakati,kwani tangu mwaka 2020 hadi sasa amezalisha vitambulisho Milioni 2 tu.
  6. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania Kuna nini NIDA hadi vitambulisho havitoki tena?

    Maana kuvisusa sio njia sahihi
  7. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania Kuna nini NIDA hadi vitambulisho havitoki tena?

    Unatakiwa ufuatilie bila kukata tamaa
  8. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua gharama za ada Chuo Kikuu Huria

    one love mkuu nashukuru sana sana
  9. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua gharama za ada Chuo Kikuu Huria

    asante sana mkuu nimeipata naendelea kuipitia
  10. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua gharama za ada Chuo Kikuu Huria

    asante sana mkuu
  11. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua gharama za ada Chuo Kikuu Huria

    Wadau, nataka kuomba kujiunga na Masters of HR pale chuo kikuu Huria, naomba kujua jinsi wanavyotoza gharama kwa hizo unit zao, na kiasi gani (minimum) ambacho mtu anatakiwa kulipa kwenye fees ili aweze kupokelewa na kuanza masomo. Natanguliza shukrani
  12. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania MNEC Gachuma unakiharibu Chama mkoani Mara

    Soma thread vizuri
Back
Top Bottom