LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Hivi kama jpm ameweza, atashindwa lissu?Anatosha kwenye kuchambua hoja si kuongoza Taifa, hebu punguzeni mihemko
Hivi kama jpm ameweza, atashindwa lissu?Anatosha kwenye kuchambua hoja si kuongoza Taifa, hebu punguzeni mihemko
Wewe jamaa umechanganyikiwa.Kila nikiwasikia ACT-Wazalendo wakizungumza naona wanatia sana Huruma na wakati mwingine hadi 'wanalazimisha' Waungane na CHADEMA lakini kila nikiwasikia CHADEMA wao nawaona hawataki huo Ushirikiano wa 'Kinafiki' na badala yake wanataka kila Chama Kipambane tu na hali yake kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao. Safi mno CHADEMA hakuna Kuungana nao Lissu Wetu anatosha.
Kazi ipo mwaka huu!
Ndo maana lissu kasema mkishinda kwa goli LA mkono mtakutana barabaraniWewe jamaa umechanganyikiwa.
Hata wapinzani wakiungana, sisi lazima tushinde kwa namna yoyote ile.
Sasa kwanini usipeleke masuala haya vikaoniNini Kinakuthibitishia kuwa Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE siyo mwana CHADEMA wakati JamiiForums nzima hadi Lissu mwenyewe anajua?
Wewe utashinda njaa, hebu kanywe maji ukalale, kesho jpm anaenda kuchukua fomuWewe jamaa umechanganyikiwa.
Hata wapinzani wakiungana, sisi lazima tushinde kwa namna yoyote ile.
Kwanini asishindwe, JPM kiboko hata watangulizi wake wote wanakiliHivi kama jpm ameweza, atashindwa lissu?
Kaa chiniWewe utashinda njaa, hebu kanywe maji ukalale, kesho jpm anaenda kuchukua fomu
Hakuna mtanzania mwenye uthubutu wa kuingia barabarani.Ndo maana lissu kasema mkishinda kwa goli LA mkono mtakutana barabarani
Acha ujinga wewe popoma MATAGANikiwa kama mwana CHADEMA hata 'Members' wote wa JamiiForums hapa wanalijua hili Mimi nadhani Tundu Antipasi Lissu Wetu anatosha sana.
Jpm ni mropokaji zaidi ya lissu, anachoweza jpm kujenga mabarabara sio kusimamia uchumi na umoja wa kitaifaKwanini asishindwe, JPM kiboko hata watangulizi wake wote wanakili
Happy kiachotafutwa ni mgombea mwenza mkuuLabda pawe na muungano wa maandishi, lakini naona pana kitu hapo mbeleni juu ya hata kama wakiungana, hili lilitakiwa mapema sana japo lina faida na hasara kama ilivyo kawaida kwenye mambo mengi kuwa na pande mbili.
KUSIMAMIA uchumi na umoja wamataifa ndio nini?Jpm ni mropokaji zaidi ya lissu, anachoweza jpm kujenga mabarabara sio kusimamia uchumi na umoja wa kitaifa
Acha ukhanithi sisi huku huwakata vichwa, huku kino maeneo ya kandahalKaa chini
Uliwe
Na jpm anatosha kusimamia barabara na sio kuongoza nchiAnatosha kwenye kuchambua hoja si kuongoza Taifa, hebu punguzeni mihemko
Kwani nchi inaongozwa na nani?Na jpm anatosha kusimamia barabara na sio kuongoza nchi