Watu wanaofarakana na kuchepuka ni kwa sababu ya maandalizi waliyopewa na jamii. Ndoa nyingi huvunjika kwa sababu ya kutoaminiana kati ya mke na mume. Hii ni kwa sababu ya matatizo katika malezi
Kama mtu anaingia katika ndoa kwa sababu ambazo si za kupata mapenzi na utulivu basi mtu huyo hauandaliwa na jamii yenye upendo na mapenzi ya kweli kiasi cha yeye kutofahamu umuhimu na manufaa yanayopatikana kwa kuwa na mwenzi sahihi na huishia kufuata mkumbo.
Nimesema ndoa mpaka kwa wasomi...
kila kijana awe na mke ili afurahie tendo la ndoa na mahusiano. ili yasiwepo mateso mengi yatokanayo na maumivu ya mapenzi yasio ya uhakika, ili tuwe na uhusiano mzuri na muumbaji wetu. Ili mahusiano yetu yakubalike na kuheshimiwa na jamii
Mapenzi ni miongoni mwa mahitaji ya asili ya viumbe ambavyo huzaliana kwa njia ya kujamiiana. Mapenzi huliwaza na kufurahisha. Ama hakika napenzi ni zawadi ambayo viumbe tumepewa na muumba wetu. Mapenzi ni kitu ambacho kimepewa kipaumbele kikubwa sana na viumbe mbali mbali
Mapenzi hayo hayo...
Mapenzi ni miongoni mwa mahitaji ya asili ya viumbe ambavyo huzaliana kwa njia ya kujamiiana. Mapenzi huliwaza na kufurahisha. Ama hakika napenzi ni zawadi ambayo viumbe tumepewa na muumba wetu. Mapenzi ni kitu ambacho kimepewa kipaumbele kikubwa sana na viumbe mbali mbali.
Mapenzi hayo hayo...
Hakuna kitu chenye thamani kama maisha ya upendo na amani. Kila mtu anatamani apate amani ya kweli katika maisha yake ya kila siku. Ni jambo la kumshukuru mungu kwamba nchi yetu sio miongoni mwa nchi ambazo zina machafuko na vita japo hatuwezi kutabiri maisha ya baadae. Tunapaswa kumuomba mungu...
Kupata bidhaa katika usawa ni haki ya kila mtu kwa sababu anatumia jasho lake na hakuna kuaziamana labda kwa mapenzi yenu wenyewe. Unafanya kazi na ukimaliza unaibuka supermarket kuchukua bidhaa za msingi kama chumvi, sukari, mafuta ya kupikia na nk. Tanzania sio nchi maskini hata kidogo...
Usawa unakwamishwa na watu wachoyo, wabinafsi na walafi. Kama kweli watu wangekuwa na upendo basi kila mtu angeona umuhimu wa kutokomeza umaskini huu moja kwa moja
Umaskini ni suala ambalo linaumiza vichwa vya watu wengi sana. kila mtu hataki kuwa maskini. matajiri wanahakikisha kwamba hawafilisiki na kufanana na maskini na maskini nao wanahaha usiku na mchana kuhakikisha kwamba wanakuwa matajiri. Umaskini haupendi, umaskini unachukiwa, umaskini ni kero ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.