Recent content by MeyaMbaruku

  1. M

    Changamoto za wakulima

    Naomba kuuliza hivi mtaji wa mung'unya inaweza kua Bei gani kwa heka!?
  2. M

    Tunauza Balo za Mtumba Grade A Aina Zote

    Na zenyewe zinakuwa za kuanzia umri gani na pia zipo mchanganyiko au Ni za kiume tu na pia zinakuwa ngapi na balo lake Bei gani??
  3. M

    Tunauza Balo za Mtumba Grade A Aina Zote

    Naulizia suruali za tracksuit za mtumba za kiume ambazo Ni za wakubwa na watoto !?
  4. M

    Ushauri kuhusu kilimo cha ufuta mkoani Mbeya

    Habari Wana JF naomba kuuliza Kama ifuatavyo 1. Kilimo Cha UFUTA mbeya kinalimwa wilaya gani 2. Masoko baada ya kuvuna yanapatikanaje hapo wilayani 3. Mtaji wake kuanzia kukodi shamba,kulima na kuvuna mpaka kuuza no kiasi gani 4. Lakini gharama za maisha hapo MKOANI kuanzia mahala pa...
  5. M

    Nahitaji fremu(Chumba) ya Biashara ya Tsh.50,000 kwaniaba ya Duka la dawa jijini Dsm

    Habarini wa Dsm mimi nikijana nipo nje ya dar es salaam ila natamani kufanya biashara dar es salaam lakin katika maeneo ambayo siyo ya watu wenye uwezo wa juu ila nataka katika maeneo ambayo kuna watu wa kati na kawaida ili nipate fremu(chumba cha biashara) kwaniaba ya duka la dawa ambacho...
  6. M

    Bei ya vyumba vya biashara maeno ya morogoro road yaliyo karibu na vituo vya daladala msaada wenu wadau

    Habiri zenu wadau poleni na majukumu ya kimaisha mimi nahitaji msaada kwa mtu anayefahamu au mkazi wa maeneo husika ya kuwa vyumba vya biashara Maeneo ya morogoro road gharama ya yaweza kua kiasi gan vinavofaa kwa biashara ya duka la dawa au duka la bidhaa za min market yaweza kua ni kiasi gani...
  7. M

    Biashara ya viazi mviringo

    Mr.Henry naomba kuuliza gunia moja yaweza kama tsh. ngapi?,na je kusafirisha gunia moja kutoka arusha to dar es salaam ni tsh. ngapi pia kama unauzoefu(msaada!)
  8. M

    Biashara ya viazi mviringo

    Ni kweli kaka ni biashara ambayo naipenda lakin inaniumiza kichwa jinsi ya kuianza kufanya coz bado nilikua sizifahamu changamoto zake ila nitajitahidi
  9. M

    Biashara ya viazi mviringo

    Mr.Henry gunia itakua kiasi gani?
  10. M

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Habari zenu wana JF samahan kwa usumbufu naomba kuuliza au ikibidi kushauriwa kabisa, mara nyingi najiuliza kutokana na mabadiliko ya uchumi yalivo sasa hivi ,je hivi nibiashara gani ambayo mtu anaweza kuifanya jijini dar es salaam japo kwa mtaji wa mil.2..?.,Ushauri wenu tafadhali
  11. M

    Biashara ya viazi mviringo

    Njex nashukuru japo kunifumbua kidogo ila kwenye upande wa madalali bado sijaelewa changamoto yake ni nini?
  12. M

    Biashara ya viazi mviringo

    Ndugu wana JF habari ya majukum...?,Nianze na samahani kwa wale ambao watanielewa tofauti, Mimi natamani kujihusisha na biashara ya viazi mvingo/nyanya maji kwa maana ya kununua aidha mbeya/njombe kisha niuze dar es salaam, Lakin ndugu wana JF bado sijafahamu wapi nianzie hivyo naomba ushauri...
Back
Top Bottom