Neema neema, neema imefunguliwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!! vigeregere na vifijo jamani, mwanga umeanza kuonekana! na tukomae hadi mwanga mwangavu upatikane!! God bless us!
Aisee najisikia kuua mtu kutokana na hii ripoti! maana hawa jamaa wakiongozwa na huyu fisadi mkubwa,Lowassa wametuua kabisa,ndio maana hata mwalimu Nyerere alikuwa hampendi kabisa huyu mwizi,alijua undani wake. eeh mungu tusaidie uvumilivu usituishie tukaamua kujikomboa wenyewe! nasubiri kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.