Uzi wako una upotoshaji na pengine una chuki binafsi kuhusu Waziri Kangi: Nitakujibu kama ifuatavyo;
1. Kimuundo na Kisheria IGP ndio Kiongozi wa Jeshi la Polisi hivyo anawajibika kuhusu utendaji wa jeshi hilo.
2. Kuwa Mteule wa Rais hakukufanyi kuwajibika kwa Mhe.Rais moja kwa moja. Wapo...
Huyu Chahali akili yake ni mbovu sana. Yani the guy thrives in subversive activities. Ndio maana alifukuzwa kazi kwa aibu kwa sababu ya usaliti na kutumiwa na majasusi wa magharibi. Ndumilakuwili huyu kiumbe. Will you ever step your foot in Africa (any country)???????
Akili yako haiko sawa. Kuwa mali ya umma sio lazima uwe unalipwa na serikali au kuteuliwa viongozi na serikali, TLS ni mali ya umma wa TZ kwa mujibu wa majukumu na shughuli zake. PERIOD
Ni kweli. hawa WATAJIFUTA TU hakuna namna. Hatutaki makelele ya vichaa katika nchi. Kazi yao kueneza uzandiki. Ni heri tusiwe na vyama vya siasa kama Saudi, Bahrain, Kuwait, Oman, etc
Yani uelewa wako wa tasnia ya INTELLIGENCE ni mdogo sana- nakuonea huruma maana HUZIFAHAMU TAARIFA MUHIMU kuhusu mada uliyoileta hapa..... Kwa ufupi tu nikwambie - DOLA NI KITU KINGINE, Kwaheri.....
Umejibu vizuri sana, tunahitaji Rais wa aina ya Magu na hatuhitaji FUNDI wa Kiingereza. Hivi wamewai Kujiuliza Kwanini Waandishi wa Novels UK na US na Nchi zingine ambako kiingereza ni asili yao wanatumia Apps maalum kufanyia editing vitabu vyao kabla ya kuvichapisha???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.