Recent content by Methyl phenol

  1. Methyl phenol

    Uliachwa kwa staili gani?

    30k tu unalialia ivo, njoo Sinza ujifunze jinsi ya kuhonga
  2. Methyl phenol

    Ndoa za sasa ni hasara kubwa kwa mwanaume na hakuna kitu utafanya

    Mnaokataa ndoa wote wapumbavu Wazazi wako wangekataa ndoa ww ungekua wap, wazaz wanafanya to their level best kulingana na maisha yao magumu wanajibana bana we usome uwe na maadili mazuri leo hii mtu unamlaumu mzazi eti mmewaacha mabinti wanaliwa ukiachana na wazazi kuwaacha mabinti waliwe...
  3. Methyl phenol

    Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

    Shda ya watu wa Mikoani mnahasira sana, Mtu anaringanisha Dar na dodoma/Njombe si hasira hizo!!? Njooni tu jaman hamna VISA kuja dar
  4. Methyl phenol

    Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

    Kisaikolojia sio rahisi ukakili/ku Surrender mbele za watu, so next day think before publishing [emoji404][emoji404] Mwanang @Mechanic97 sina baya na ww[emoji846][emoji846]
  5. Methyl phenol

    Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

    Spo hapa kupinga mtu, Keep on believing what you imagine Kesi closed, Am out[emoji741]
  6. Methyl phenol

    Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

    Bro mawazo yako skuping though yako nje ya uhalisia yan kuna vtu vilivyo ndo vishakua na ndio uhalisia wenyew, na uhalisia sku zote huwez ukalinganisha na imagination Mfano mambo ya natural wealthy unayoongelea n kweli lakini sio guarantee Ni sawa na kusema Africa ina natural wealth kuliko...
  7. Methyl phenol

    Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

    kuna hoja zngne znaboa Aisee ata alieishia la pili hawezi fikiria utumbo kiasi iko “Et wenye viwanda wanajenga karibu na ofisi za serikali ili iweje?” Shda akili kama hujaipa exposure ukiona hata barabara tu inarekebishwa unaona Miundo mbinu ya kjijin kwenu n hatari Tanzania nzima Pata...
  8. Methyl phenol

    Wangapi? Wanaishi Dar

    Route ndo haizidi buku, sio sehem unayoenda..’ wengne uber,bolt,Quick
  9. Methyl phenol

    Huwa nachukizwa sana na wale wenye kauli ya "facebook ni kwa ajili ya wajinga na watoto"

    Wajinga bhna, Asubuhi hii umeanza kujistukia? Mm nna elimu?? Nmekwambia nna elimu? Mm wala sjasoma ata darasa la kwanza ila siwezi kuwa na intell. Quot, kiduchu kama ww Pom pom Crawl
  10. Methyl phenol

    Huwa nachukizwa sana na wale wenye kauli ya "facebook ni kwa ajili ya wajinga na watoto"

    Jamaa mshamba sana kwamba kazi yako ni kukagua post za watu au sio!” Akili yako inakutuma baada ya kuangalia unamjua mtu kwa percey ngapi?? Ww nkuletee Organc Chem, huchelewi kusema nmekudharau That’s why we use Anonymous kama ndo skuwa tayar ujue jna tu halisi leo ndo utajisifu umejua Mm n...
  11. Methyl phenol

    Huwa nachukizwa sana na wale wenye kauli ya "facebook ni kwa ajili ya wajinga na watoto"

    We ndo mjinga pro, yan maelezo yako yamekaa ki fasebuk facebuku utazani imeletwa na umeijua juzi Waachie watoto wa sekondari Otherwise mtu akitokea tena akakuchana ukweli uskasrike Na unavo kasrika na kutukana hovyo humu inaonyesha kabisa ww “AKILI ZAKO NYINGI NI CHACHE”
  12. Methyl phenol

    Huwa nachukizwa sana na wale wenye kauli ya "facebook ni kwa ajili ya wajinga na watoto"

    Tekno, itel, watu wa mikoani na fesbuku ni hivi[emoji1666] Umekaa zako Mara paap “Amina is feeling Pregnant with you” Tokea hapo staki tena kuiskia fesibuku
Back
Top Bottom