Habari wakuu!
Ninamdogo wangu anasoma A-level katika shule (flani) ya serikali mkoani Mtwara anataka kuihama shule hiyo. Hii ni kwasababu anadai kuwa kuna uhaba wa walimu wa sayansi katika shule hiyo kwani anachukua comb ya CBG.
Sijajua kama ni kweli lakini sinabudi kumhamisha kama anavyodai...
R.slip ya mwaka 2014 imeexpire hivyo utasumbuliwa sana.
USHAURI
Nenda baraza wakupe cheti chako then uje kuripoti.
Pia kama unaweza lipia kila kitu huko kwani huku utasumbuka kwasababu kuna foreni kubwa katika benki zote(mjini na chuoni).Jitahidi ulipie kila kitu kwasababu hautasajiliwa ikiwa...
Asanteni sana hatimaye TCU wamenipangia UDOM ila nasubiri approval kutoka kwao.Mwanzo ulikua hata ukiclick kwenye view selection haionyeshi chuo wala program niliyokua nimepangiwa.s
Mi mwenyewe nimetemwa naambiwa nimechaguliwa nisubiri chuo kuniconfirm lakini hakuna course wala chuo nilichopangiwa.Msaada jamani.You have been provisionally selected. The programme selection shall become final after the University/Institution confirms you for admission.
Be advised that the...
Mi niliapply kwa mara ya kwanza kabisa na nikaambiwa nimechaguliwa lakini selection ilitoka sikupangiwa ktk vyuo vyote nilivyokua nimeomba,nilitaka ni edit information lakini ilishindikana kwani nilikua nikiambia tayari nimeshachaguliwa nisubiri kupangiwa na Cas imefungwa.
USHAURI
Kama na...
That's a biggest prob of African leader,They think that they are powerful enough to stay ever in power yet it is impossible.I think if P.Nkurunziza does not want to leave for others to rule he is going to die,coz Burundians won't let him survive.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.