Recent content by METAL

  1. M

    Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

    ungeita takukuru ili upate haki yako kutokana na ukilaza wako umekubali kupata masters kwa kuchakachukuliwa kwahiyo usilalamike
  2. M

    Udom: Tabia ya kuwaongezea coursework wanafunzi waliofeli inakatisha tamaa

    niko udsm mwaka wa pili,sijawahi ona upumbavu kama huo hapa chuo,udom naichukia balaa
  3. M

    Ulizia hapa kuhusu Shule uliyo chaguliwa 2014/2015

    huku ndo kwetu karibu sana kijana,shule iko mahali pazuri sana
  4. M

    Kumbe St. Augustine University of Tanzania (SAUT) ni moto wa kuotea mbali

    umekariri au??? mwigulu siyo msomi pekee yake UDSM
  5. M

    Kumbe St. Augustine University of Tanzania (SAUT) ni moto wa kuotea mbali

    sisi UDSM imetoa wasomi mbalimbali hapa nchini na ulimwenguni pia,ila nyinyi SAUT mkaze buti kwa sababu wasomi wenu wanahesabika
  6. M

    MUM idahili toka tcu.

    ht kama watajitenga hao waislamu na chuo chao,bado wakristo tupo juu katika nyanja mbalimbali za kielimu,kisiasa,kimichezo n.k.
  7. M

    UE za UDOM bwana!! Haya bwana!!

    usilaumu kuwa Udsm inatoa product mbovu bali ni uongozi wa ngazi za juu unaosababisha mambo ya chuo cha UDOM kushuka kwa hadhi ya kitaaluma kwa kulinganisha na vyuo vingine,kwanza UDOM siasa nyingi sana upande wa uongozi wa ngazi za juu na pia udini ni ambavyo vinavyopelekea chuo chenu cha Udom...
  8. M

    Marian Boys High School

    una jinsia mbili,kuna marian girls high school
  9. M

    Tuombeeni tunaanza mitihani ya UE, UDSM

    kama kawaida wadau tunaomba dua zenu kipindi hiki tunapoanza mitihani yetu ya kumaliza semester ya kwanza kwa mwaka wa masomo 2013/2014,UDSM(Main Campus,DUCE & MUCE),tunaanza tarehe 3 mpaka 14 mwezi wa pili,Mungu ibariki UDSM.
  10. M

    Degree with Honours

    ukikua utaacha kjana wewe wa kizazi cha mulugo,unaparamia paramia tu comments za watu,kaa pembeni dogo
  11. M

    St.joseph wahindi wapigana wao kwa wao

    najua baada ya kunijibu utakuwa katika category ipi ambazo nimeshazitoa
  12. M

    St.joseph wahindi wapigana wao kwa wao

    sijapanic ila naona unataka tuendelee kutawala humu JF,na kama una wasiwasi na mimi basi baki hivyo,natoa onyo la mwisho kuwa kama utaendelea kujibu comments zangu basi nitakuwa bwana wako,na kama ukinyamaza kimya basi utakuwa umeniogopa,I love UDSM ever
  13. M

    St.joseph wahindi wapigana wao kwa wao

    siwezi ongea na vijana wa kizazi cha mulugo yaani umefanyiwa standardization lakini tokeo lako bado bovu na umepeleka huko Songea,hasa unaanza kujutia chuo chako hicho ulichochaguliwa,achana na mimi kipanga ambae sina shida ninasoma chuo bora sana barani Afrika na Ulimwenguni pia(UDSM),huku...
  14. M

    Degree with Honours

    mbona hujiamini wewe kijana wa kizazi cha mulugo,nani kakwambia mimi nataka UDOM,au umepelekwa huko UDOM afu unajuta sana,naomba nijibu swali langu kasoma chuo gani ndo tuendelee na mambo mengine,kama hutaki basi usiwe unaleta posts zako za kidwanzi humu JF.
Back
Top Bottom