Nawaza kama timu CHADEMA niijuayo itakuwa bungeni, halafu tukaongeza Kubenea, Kibanda, Prof. J, Roma na wengine wengi. Tutakuwa tunaacha mechi za premier, na za nchini kuwahi kuangalia Bunge.
Kwa nini nimewataja hawa? Kwa kuanzia, wana sifa moja inafanana, nayo ni "Hawana woga penye ukweli"