Watanzania wenzangu ifike mahali sasa tufanye maamuzi sahihi. Nadhani kuna haja ya kusema hapana kwa wale wanaojifanya kuutaka URAIS kama vile ni kazi ambayo kila mtu anaweza kuifanya. Kukaa kwetu kimya katika hili itatufikisha mahali tunachanganya pumba na mchele katika ungo mmoja, kitu ambacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.