Msimjibie kuhusu hii ishu.
Mwacheni atoe hivyo vyeti original.
Utasemaje Fulani ni muongo na wakati muhusika hajakanusha tuhuma ambazo zinatamba hadi kimataifa???
Hela hawana jaman....tuwaonee huruma teh teh teh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.