Habari mimi ni kijana Umri miaka 24 natafuta nafasi ya kazi ya ualimu wa Shule ya msingi, niko mkoa wa katavi wilaya Mpanda mjini.
Mawasiliano 0621364039 sms pekee au whatsapp namba 0687305692
AKHSANTE
Mimi ni binti nipo mkoa wa Katavi, wilaya ya Mpanda.
Natafuta nafasi ya kazi yoyote hata duka ila nimesomea uuguzi, ila ninamatatizo ya masikio sisikii vizuri. Nimewahi kujitolea zahanati sehemu mbili.
Mawasiliano yangu 0621364039 ila ujumbe pekee na sio kupiga kutokana na matatizo ya masikio
KILIMO ni shughuli ambazo hufanywa na wakulima au mtu yoyote anaehitaji kuwa mkulima. Mfano kilimo cha mahindi, mpunga, n.k
KILIMO nishughuli ambayo hapo zamani ilikua inatumika Sana hasa vijijini na ndo shughuli maharufu tangu hapo zamani.
KILIMO huleta faida kubwa kwa wakulima mara baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.