Recent content by mercphason

  1. mercphason

    Kwenye Usaili wa Udereva wa Serikali mambo hani huzingatiwa?

    Wakuu, naomba kujuzwa kwa anaejua usaili wa dereva wa serikali uwa mambi gani muhimu yanaulizwa na kuzingatiwa. Asante.
  2. mercphason

    INAUZWA Nissan rasheen NAUZA

    Haina shida yoyote.. Nicheck whatsap 0654245367 au kawaida 0675721687. Gari ipo Toangoma kwa Kipara. Nipe 4.5 M
  3. mercphason

    Updates za kifo cha Afande Luteni Kanali Muna aliyeuawa Kawe kwa kuchomwa kisu na dereva bajaji Kato

    Napita tu. Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
  4. mercphason

    Kwanini tarehe za 21 hadi 4 Wanajeshi wanakuwa na Furaha tele, ila kuanzia tu tarehe 5 hadi 20 Wanatia mno Huruma na kuwa na Usununu / Hasira?

    Kwa kugha rahisi unasema askari ambaye sio officer wana njaa/mishahara midogo? Research hii umefanyia wapi?
  5. mercphason

    Aliyepo Mtwara amesomea mambo ya ustawi wa jamii au mazingira na smart upstairs na well presentable anicheki

    Yupo mtwara mjini kabisa.. ila ana sifa zotee hizo kasoro moja... hana cheti cha ustawi. Ni mwanamke na ni mtwara mjini kabisa
  6. mercphason

    Car4Sale Ninauza Nissan kwa Tsh Milioni 2

    Hapana mkuu.. vipo vimeo vingi tu vimepark.. karibu upitie pitie
  7. mercphason

    Car4Sale Ninauza Nissan kwa Tsh Milioni 2

    NIMECHUKUA MAONI YENU.. TATIZO MM MWENYEWE NIPO MKOANI.. AMEBAKI WIFE TU HUKO NDO ALIEPIGA PICHA. NIMEAGIZA LIOSHWE NA LITOLEWE HAPO ILI TULILETE HAPA LIKIWA KAMA MULIVOSHAURI[emoji120]
  8. mercphason

    Car4Sale Ninauza Nissan kwa Tsh Milioni 2

    Mkuu hapo inatembea na inafanya kazi.. imepaki kwa mda mrefu tu.. hapo ukifika unawasha na kuondoka
  9. mercphason

    Car4Sale Ninauza Nissan kwa Tsh Milioni 2

    Hapana bro.. jiongeze kidogo
  10. mercphason

    Car4Sale Ninauza Nissan kwa Tsh Milioni 2

    Ndio rasheen mkuu
Back
Top Bottom