🤣🤣Acha kabisa Mkuu! Full makasiriko! Kuna mzee mmoja jana nilimkuta analalamika sana na kufoka juu, nikiri kua nililazimika kuamini yeye si shabiki wa Ken Gold bali Mtani wa Yanga.
Mkuu, sahihi ni vile moyo na akili zako zinakuelekeza kutokana na maisha unayoishi na mke wako. Binafsi mume wangu kaniambia, na haijasababisha niache kutoa matumizi kwa maswala ambayo nina uwezo nayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.