Recent content by MERCIFUL

  1. MERCIFUL

    Naombeni taratibu za rufaa Wizara ya Elimu, mwanangu kapata division three wakati hana uwezo huo

    Mkuu, asante sana kwa kunifanya nicheke kwa sauti. Natumaini utafanikiwa kupata tararibu hizo za kukata rufaa.
  2. MERCIFUL

    Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

    Asante kwa angalizo! Endelea tu kumvumilia labda ipo siku nae atakupenda kiasi cha kuacha pombe ili asikukwaze.
  3. MERCIFUL

    Yanga SC ikishinda leo niitwe Aziza Jumanne

    Tutakuja mcheki mrembo wetu Aziza
  4. MERCIFUL

    Gari la mwendokasi la express, dereva kusimamia kila kituo kisa watu wanaomba msaada inakera sana

    Halafu ukutane na yule dereva ana vimada njia nzima. Mtasimamwisha awashushie mboga mpaka ujute.
  5. MERCIFUL

    Moshi: Amuua mama yake wakigombea mali za marehemu baba yake

    Libaba hilo lipuuzi lenye miaka 54!!
  6. MERCIFUL

    Ken Gold Walinyimwa Goli dhidi ya Vibonde Yanga SC siku ya Jana

    🤣🤣Acha kabisa Mkuu! Full makasiriko! Kuna mzee mmoja jana nilimkuta analalamika sana na kufoka juu, nikiri kua nililazimika kuamini yeye si shabiki wa Ken Gold bali Mtani wa Yanga.
  7. MERCIFUL

    Je, ni sahihi kumwambia mkeo kiasi cha mshahara wako?

    Mkuu, sahihi ni vile moyo na akili zako zinakuelekeza kutokana na maisha unayoishi na mke wako. Binafsi mume wangu kaniambia, na haijasababisha niache kutoa matumizi kwa maswala ambayo nina uwezo nayo.
  8. MERCIFUL

    Kama mwanaume unaweza kukaa siku nzima bila kupokea meseji ya " mambo" basi jua kuna kitu kina miss kwenye maisha yako

    Hakika Mkuu; Na vile anaongelea watoto wakike; nadhani wanawake unaowasema wewe sio wa level yake.
  9. MERCIFUL

    Martin Masese: Tumezungumza na dereva, ni kweli hilo gari halina kamera!

    Mkuu hata mie niliwaza na kujiuliza hivyo pia; Nina amini, na ninatumaini yupo walau mmoja ambae alipiga picha.
  10. MERCIFUL

    Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

    Ha Ha ha. Kwakweli wacha tu tucheke maana haya mambo ni mazito sana, yanakera na kuogopesha!!
  11. MERCIFUL

    Tanga: Yaliyojiri Kwenye mazishi ya Ally Mohamed Kibao, Kiongozi wa Chadema aliyeuawa kikatili

    Daaaah! Inahitaji ujasiri wa hali ya juu kuendelea kukaa hapo msibani.
  12. MERCIFUL

    Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

    Au ngwala kabisa, apige mweleka jukwaani!🤪
Back
Top Bottom